Ni wako tu hata kama alikula nyama za kila bucha mjini. Kama ni wako atatulia na nanasi utalikuta lina utamu wake kama halijawahi kuonjwa! Ila kama sio wako, hata ukifungua mwenyewe kutoka kwenye box, baada ya muda mfupi utabwaga manyanga ukatafute manungayembe barabarani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.