Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,596
- 1,236
Korongo au kongoro? Sasa mbona tunaanza kuchanganyana?Anaitwa kongoro mwitu. Hafugiki huyooo!
Korongo au kongoro? Sasa mbona tunaanza kuchanganyana?Anaitwa kongoro mwitu. Hafugiki huyooo!
Anaitwa kongoro mwitu. Hafugiki huyooo!
huyu ni bastard.........kaka yake na Kori......
si jogoo wala si njiwa
Kumbe nilikua sijakuambia eenh...huwa nawinda hadi watu pia!!
Mhhhhhhh mkuu mbona hapo pagumu ndugu yangu we unawinda hadi watu!!!!!!!em fafanua kidogo maanake nimepata kigugumizi kidogo ujue..................
Njiwa ana ukubwa gani hadi uulize kama huyu ni "jogoo au njiwa"?
Huyo atakuwa chotara wa kiume wa Guinea fowl na Kuku wa kienyeji.Duu, Preta majibu yako sasa hivi yanafurahisha. Acha kuchanganya watu na majina bana. Wape ya ukweli.
Anaitwa Common Pheasant (Phasianus colchicus) na ana asili ya Asia. Ila kwa sasa hivi anafugwa sehemu nyingi sana. Kwa Tanzania pia anafugika kama kule Arusha na Kilimanjaro, sehemu za kibaridi au Mbeya ni poa sana.
![]()