Wewe kama sio mpigaji, basi unafaidika na upigaji unaoendelea chini ya serikali ya Samia!!Kuna taarifa pia ya CAG ilibainisha 1.3 trilion hazijulikani zilipo lakini kelele hazikupigwa hivi. Taarifa hii ni ya ukiukwaji tu wa taratibu sidhani kama kuna wizi mkubwa sana uliofanyika japokuwa kweli wizi upo! Nchi yangu Tanzania