Huwezi ukaongoza nchi kwa visasi ukafanikiwa. NEVER!

Kuna taarifa pia ya CAG ilibainisha 1.3 trilion hazijulikani zilipo lakini kelele hazikupigwa hivi. Taarifa hii ni ya ukiukwaji tu wa taratibu sidhani kama kuna wizi mkubwa sana uliofanyika japokuwa kweli wizi upo! Nchi yangu Tanzania
Wewe kama sio mpigaji, basi unafaidika na upigaji unaoendelea chini ya serikali ya Samia!!
 
Taifa letu sasa lilipo bakia linahitaji uponyaji...

Subirini muone.
 
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.

Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.

Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.

Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.

Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...

Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.

Em mnipishe kwanza..

Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.

LATEST UPDATES..
As per todays tragic incident.. kuna watu wanasherehekea kifo cha Benard Membe. Kama vilevile kilivyosherekewa kifo cha Magufuli.
Sasa nawambia hivi..
Mnachokitafuta ndugu zangu watanzania Mtakipata. Soon.

Im DONE.

Sukuma gang bwana! Kwahiyo ulitaka mbakishwe ninyi? Mama piga kazi. Ripoti ya CAG siyo ya kwanza hii kuonesha wizi na ubadhirifu serikalini. Ni upepo tu huu,. Utapita.



View attachment 2581868
Kaeni Kwa kutulia , punguzeni fyoko fyoko , anyway mkazike salama twendeni mpak 2025..
 
1683912677740.png
 
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.

Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.

Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.

Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.

Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...

Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.

Em mnipishe kwanza..

Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.

LATEST UPDATES..
As per todays tragic incident.. kuna watu wanasherehekea kifo cha Benard Membe. Kama vilevile kilivyosherekewa kifo cha Magufuli.
Sasa nawambia hivi..
Mnachokitafuta ndugu zangu watanzania Mtakipata. Soon.

Im DONE.
Usitutishe by Maalimu seif voice
 
Mkuu em kuwa serious basi on critical matters threatening the nation. Weka ushabiki pembeni kwanza.
Mkuu hata wewe umeweka ushabiki, ni kawaida rais mpya kuweka timu yake.
Huwezi kuwa kiongozi mpya urithi wasaidizi wa zamani. Unaweka inaodhani watakufaa.
Na ni kawaida..
 
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.

Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.

Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.

Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.

Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...

Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.

Em mnipishe kwanza..

Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.

LATEST UPDATES..
As per todays tragic incident.. kuna watu wanasherehekea kifo cha Benard Membe. Kama vilevile kilivyosherekewa kifo cha Magufuli.
Sasa nawambia hivi..
Mnachokitafuta ndugu zangu watanzania Mtakipata. Soon.

Im DONE.
Sasa Si walionewa na magufuli kwa wewe unaita visasi wamerudi Tena maana wametendewa haki?
 
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.

Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.

Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.

Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.

Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...

Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.

Em mnipishe kwanza..

Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.

LATEST UPDATES..
As per todays tragic incident.. kuna watu wanasherehekea kifo cha Benard Membe. Kama vilevile kilivyosherekewa kifo cha Magufuli.
Sasa nawambia hivi..
Mnachokitafuta ndugu zangu watanzania Mtakipata. Soon.

Im DONE.
Leadership! leadership! leadership!!!

Ndio tatizo kubwa la "human capital' tulilonalo kama Taifa, toka uhuru.

Mengine yote yanafuata baada ya tatizo hilo la kwanza - lack or absence of leadership.
 
Taifa letu sasa lilipo bakia linahitaji uponyaji...

Subirini muone.

Tusubili tuone nini na kazi ndio imeanza!! Wameisha anza kutengeneza mazingira kuwa kuna virusi hivyo wale maswahiba wa Membe wakiondoka baadae watasema ni virusi kwa vile walikuwa karibu na Membe aliyekufa kwa kushindwa kupumua !! Tunarudi kule kule kwenye enzi za corona!!! Hivyo Membe hataondoka peke yake lazima atakuwa na wasindikizaji!
 
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.

Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.

Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.

Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.

Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...

Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.

Em mnipishe kwanza..

Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.

LATEST UPDATES..
As per todays tragic incident.. kuna watu wanasherehekea kifo cha Benard Membe. Kama vilevile kilivyosherekewa kifo cha Magufuli.
Sasa nawambia hivi..
Mnachokitafuta ndugu zangu watanzania Mtakipata. Soon.

Im DONE.
Hata wewe unachokitafuta utakipata soon.
By the way kila kiongozi na maono yake na filosofia zake ktk kutawala.
Jpm alifukuza watu kwa husda ya ukabila iliyojengeka akilini mwake kutokana na hitilafu katika ubongo wake.
Unapolinganisha fukuza/teua za jpm vs mama anza na Nyerere vs wakoloni ukuje hadi wakati wa JK vs Mkapa tutakuelewa.
Otherwise SUKUMA GANG mmeishiwa akili.
 
Back
Top Bottom