Huwezi kutoboa maisha kwa betting

Huwezi kutoboa maisha kwa betting

Hamissi Hamza Jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2020
Posts
555
Reaction score
1,112
Kumekuwa na Wimbi kubwa la Watoto,vijana na wazee kuwa Waraibu wa Kamali kwa kutafuta mkato wa kufikia mafanikio kirahisi",

Wewe una shillingi 500 au 1000 unataka uwe milionea uliona Wapi

Maisha Ni Probability Game Lazima Chochote Unachofanya uangalie Gain Ratio na Lose Ratio",
Lose ration ikiwa Ni kubwa kuliko Gain Ratio Unapoteza Muda wako,Unadumaza Akili yako na Kupoteza rasimali pesa yako",

Amka Kutoka Usingizini Betting Haitokutoa kwenye Umaskini,Haitokupa Maisha ya Ndoto zako Toka Magetoni Nenda kapambane mtaani unachokipata kiheshimu na fikilia namna ya kukiongeza".
 
Kikubwa tunaobet hatuvunji sheria za nchi..
Kuhusu kufanikiwa katika maisha huwa hakuna formula wala galantii, mwenye kufanya shughul yoyote ile ya kumuingzia kipato anaweza kutoboa au asitoboe..
Kuna kijana alikuwa anaokota maplastik sahivi ana nyumba na duka alikula milion 65 meridian.
 
mwez huu uliopita
niliamua kujifunza rasmi kubett,japo nna viaidia kuhusu timu mbalimbali kwahiyo kwenye kujifunza haikunipa shida sana.maajabu yalipoanza kila nikiweka 1000,2000 zangu naweka odds kumi timu moja inanichania mkeka,narudia tena tena tena wapi,nimepoteza kama 30000 kwenye kubett,mi nilikulaga 7000 tuu.MPAKA SASA SINA HAMU NA NIMEACHA.
 
Kikubwa tunaobet hatuvunji sheria za nchi..
Kuhusu kufanikiwa katika maisha huwa hakuna formula wala galantii, mwenye kufanya shughul yoyote ile ya kumuingzia kipato anaweza kutoboa au asitoboe..
Kuna kijana alikuwa anaokota maplastik sahivi ana nyumba na duka alikula milion 65 meridian.
Naam
 
Kumekuwa na Wimbi kubwa la Watoto,vijana na wazee kuwa Waraibu wa Kamali kwa kutafuta mkato wa kufikia mafanikio kirahisi",

Wewe una shillingi 500 au 1000 unataka uwe milionea uliona Wapi

Maisha Ni Probability Game Lazima Chochote Unachofanya uangalie Gain Ratio na Lose Ratio",
Lose ration ikiwa Ni kubwa kuliko Gain Ratio Unapoteza Muda wako,Unadumaza Akili yako na Kupoteza rasimali pesa yako",

Amka Kutoka Usingizini Betting Haitokutoa kwenye Umaskini,Haitokupa Maisha ya Ndoto zako Toka Magetoni Nenda kapambane mtaani unachokipata kiheshimu na fikilia namna ya kukiongeza".
Baada ya wewe kuacha kubet ndio umekuja kutoa ushari.

Ungepiga pesa kwenye Bet ungekuja kuwapa ushauri hapa watu wajatibu Zari na waache wema.
 
Kwa Idadi hii katika Takwimu na wewe umo.
 

Attachments

  • 20250526_183654.jpg
    20250526_183654.jpg
    65.1 KB · Views: 37
Nyie msiobeti mtuonyeshe mafanikio yenu..

Tafiti zinaonyesha watu wasio beti ndio wanaoongoza kulia lia kwenye mapenzi..

Mkamaria hata siku moja huji kumkuta analialia mapenzi

Kubeti kunaongeza ujasiri wa kuzidi kutafuta pesa
Mimi Na Miaka yangu 24 nikalilie demu, Nikalilie Wajasilia Viuno, Nikalilie Mapenzi Bro me sio wa aina hio
 
Back
Top Bottom