Huwezi kumchunga mwanamke!

Huwezi kumchunga mwanamke!

Sasa kama anakupenda kwanini alienda kuolewa? Yani mi nitoe hela ya mume wangu nimpe mchepuko?? Mscheewwww.

Mimi siwezi labda niwe sina ties nae za mapenzi naweza kumsaidia lakini bado unabutua unachukua pesa kwa mkeo unampa zilipendwa no that doesn’t sit well with me
 
Ni mwanamke anachukua pesa kwa mume anampa mchepuko
Mimi siwezi labda niwe sina ties nae za mapenzi naweza kumsaidia lakini bado unabutua unachukua pesa kwa mkeo unampa zilipendwa no that doesn’t sit well with me
 
Nikikutanaga na story kama hizi mawazo ya kuoa yanazidi kupotea,Mungu nisaidie tuu mjaa wako ...
 
Ni hospitali gani hiyo ambayo ukienda mume na mke daktari anamwambia mmoja akae nje tena ishu yenyewe mimba
Yani yeye wakati wanaenda hosptali ishu siyo mimba,alidai tumbo linamsokota sana hapo analia na machozi yanachuruzika kumbuka hapo alikuwa kapaka vicks kwenye kope lazima utoe machozi.
Kuingia chumba cha dokta aliingia peke yake na kupewa elfu tano ili aseme uongo kwa kuwa pia ana mimba changa dokta naye akashauri huo ujinga.
Nadhani umenielewa
 
Kwa kweli siwezi kumtukanisha matusi mume wangu kiasi hicho. Kama ndo anampenda sana huyo ex wake angemrudia tu waoane. Mambo mengine unajidharaulisha wewe mwenyewe afu bado unamfanya mumeo aonekane boya tu. Kukosa akili huko

Daah,unatufariji sana mimi na wenzangu ...! Hongera sana....
 
Yani yeye wakati wanaenda hosptali ishu siyo mimba,alidai tumbo linamsokota sana hapo analia na machozi yanachuruzika kumbuka hapo alikuwa kapaka vicks kwenye kope lazima utoe machozi.
Kuingia chumba cha dokta aliingia peke yake na kupewa elfu tano ili aseme uongo kwa kuwa pia ana mimba changa dokta naye akashauri huo ujinga.
Nadhani umenielewa
Jibu swali la hapo juu, unaulizwa kua ni hospitali gani hio ambayo mkienda mume na mke kwa ishu ya mimba anaingia mmoja na mmoja anabaki nje?
 
Ina maana hata mke wangu nitakayemuoa huenda akanifanyia hivyohivyo.
 
Wanaume wenzangu niwaombe jambo moja, hebu badilikeni muanze kuandika mambo ya kujenga juu ya wanawake ili na sisi ambao hatujaoa tushawishike kuoa. Mambo ya kila siku wanawake hivi, wanawake vile kwa kuwaponda eeeeh! Mnatuvunja nguvu ya kuoa
 
Back
Top Bottom