tatizo anaongelea watu wanavyofail interview wakat yeye yupo na keyboard peke yake chumban kwake lakin kashindwa kueleza kitu kinachoeleweka hapa, sembuse interview mbele za watu, dah nimegundua watanzania wamejaa mastress tu wawapo makwao, barabaran, makazin, kwenye sehemu za ibada...poleni jaman