huwezi achaa

huwezi achaa

unknown animal

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2012
Posts
337
Reaction score
51
namashtee wajumbe,


kimsingi sidhani kama kuna ulazima sana wa kutumia nguvu kubwa kuwaachia mwanamke tofauti maneno yako ili uonekane mashuhuri tena kwa lugha ya inteview wakati ungetunza yangekusaidia,kwa sababu kwenye interview vijana folders za ngeli huwa zinaevaporate,hili ni angalizo tu.
 
Sijakuelewa labda wenzangu waje wanisaidie...
 
Sijakuelewa labda wenzangu waje wanisaidie...

tatizo anaongelea watu wanavyofail interview wakat yeye yupo na keyboard peke yake chumban kwake lakin kashindwa kueleza kitu kinachoeleweka hapa, sembuse interview mbele za watu, dah nimegundua watanzania wamejaa mastress tu wawapo makwao, barabaran, makazin, kwenye sehemu za ibada...poleni jaman
 
hawa ndio wa tanzania tulio nao ambao hata kuelezea wazo likaeleweka kwa watu ni tatizo.......usijiulizwe kwanini tupo tulipo, nadhani jibu ni hili hapa
Labda ndiyo maana Vasco Dagama hajaambulia kitu tangu aanze kuzurura na bakuli la kuomba misaada kwenye Nchi za wanaume wenzake.
 
Labda ndiyo maana Vasco Dagama hajaambulia kitu huko majuu tangu aanze kuzurura na bakuli la kuomba misaada kwenye Nchi za wanaume wenzake.

Wazo lako mwenyewe unataka kulileta kwa jamvi lakini kuliwasilisha inakuwa ngum???kwani huwa hamuedit ndo mpost??kweli kazi ipo. Hata baba na bakuli yake itakuwa ngumu kurudi na rupia coz kujieleza ni kaaaaaz kweli kweli
 
:majani7::confused2: .................!!!!!???
 
Daah jamaa kaweka kama fumbo vile ila nimemsoma kupitia post yako
tatizo anaongelea watu wanavyofail interview wakat yeye yupo na keyboard peke yake chumban kwake lakin kashindwa kueleza kitu kinachoeleweka hapa, sembuse interview mbele za watu, dah nimegundua watanzania wamejaa mastress tu wawapo makwao, barabaran, makazin, kwenye sehemu za ibada...poleni jaman
 
namashtee wajumbe,


kimsingi sidhani kama kuna ulazima sana wa kutumia nguvu kubwa kuwaachia mwanamke tofauti maneno yako ili uonekane mashuhuri tena kwa lugha ya inteview wakati ungetunza yangekusaidia,kwa sababu kwenye interview vijana folders za ngeli huwa zinaevaporate,hili ni angalizo tu.

hahahahahhahahha kwakweli we kaka ,you have made my night,au sisi Wana JF tukushindwa kuelewa ndo tuache,dah,au uliandika ukiwa na stress baada ya kutumia nguvu nyingi kwenye Hakuna ,pole mwaya.
 
namashtee wajumbe,


kimsingi sidhani kama kuna ulazima sana wa kutumia nguvu kubwa kuwaachia mwanamke tofauti maneno yako ili uonekane mashuhuri tena kwa lugha ya inteview wakati ungetunza yangekusaidia,kwa sababu kwenye interview vijana folders za ngeli huwa zinaevaporate,hili ni angalizo tu.

Ulikuwa unakimbizwa wakati una post nini,maana hujasomeka kabisa mkuu @uknown animal!!
 
mmh sa hapa nani kashindwa kumuelewa mwenzie na nani anastahili kuacha, kweli nyani haoni .............................
 
Jiandae kwa kula magimbi na pweza

Sitaki sikia tren linashindwa kupanda saranda

:grouphug::grouphug::behindsofa::behindsofa::A S-heart-2::A S-heart-2::mimba::mimba::violin::violin:

:focus::focus:
 
Back
Top Bottom