Huwa yanachuja?

Huwa yanachuja?

Faru dume

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
471
Reaction score
116
Poleni wadau.

Nina swali moja nataka kuuliza kwa wanajamvi,hivi mapenzi yana chuja na kwa nini yachuje.
Nauliza hivi sababu rafiki yangu analalamika every day mpenzi wake kabadilika.

Mpaka mimi nashangaa sababu walikua wanapendana sana mpaka kijijij chote kinajua but sasa hivi imekua vise vesa.
Naomba tujadili ' mapenzi yanachuja.
 
Love is an adventure with some downfalls...
 
Atakaye kupenda ndiyo huyo huyo atakayekuchukia. Hayachuji sema yanaingiliwa na uvivu kama kila siku ni yale yale hakuna jipya.
 
yeeees yanachuja inategemea tilio ulilochagua hahaaaaaaa
 
yanachuja tena vizuri, kila lenye mwanzo lina mwisho, inategemea sasa kama ni mwisho mzuri au mbaya.
 
yanachuja muwe wakwel tu mcjifanye wajuaji , hata kama mnapendana sana na sababu kubwa nii kuoeana ni mtazamo wangu
 
Mapenz yatachuja kama mmoja wenu ataamua kuanzisha mahisiano na mtu mwingine bila ww kujua
 
Mapenz yatachuja kama mmoja wenu ataamua kuanzisha mahisiano na mtu mwingine bila ww kujua

Jina la Avatar yako mkuu inamaanisha shemale? Duuu.....hongera sana kitu cha double standard
 
Baadhi ya mda ukiona mpenzi wako anabadilika kwa kujitathmini wewe kwanza je huna kitu chochote unafanya yeye hapendi au wewe nawe huna mabadiliko hata kama madogo madogo mfano mwanzoni ulikua mpole baada ya kuzoeana umekua mrusha maneno ya ovyo ovyo ni ki ukweli upande huu unakua haujioni kuwa na tatizo bali kuhukumu upande mwengine.....
 
Jina la Avatar yako mkuu inamaanisha shemale? Duuu.....hongera sana kitu cha double standard

hio username tu mimi nimezaliwa mschana nina rafiki yangu wa karibu sana ni shoga alaf haogop hata kujificha ndio mana nikatumia hio username so usiogope sana
 
Mapenzi ni kama nyumba ambapo hua mpya na baada ya muda huanza kupauka rangi, nyufa kutokea na kadhalika hivyo ni jukumu lenu kuikarabati ili iendelee kua na thamani ile ile na hata kuzidi thamani ya mwanzo. Kumbuka usipoziba ufa...

Uhai wa mapenzi unategemea sana mambo matatu ambayo huenda sambamba; upendo, huruma na uvumilivu kwa wapendanao. Kwani binadamu hupitia hali tofauti(yaani kupanda na kushuka) katika maisha.

Hivyo mapenzi huchuja na hata kuisha kabisa endapo hakutakua na hayo mambo matatu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom