Huwa wanawaona kama malaika……….!

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,398
Wanaume wote ambao huenda Bar kunywa na kulewa wana sifa moja kubwa.

Huwa wanawaona wahudumu wa Bar hawavutii kwa uzuri wakati wanapoingia, lakini muda mfupi wakishalewa huwa wanawaona wahudumu hao kama malaika kwa uzuri.

Ulevi Noumaaa…………….
 
Wanaume wote ambao huenda Bar kunywa na kulewa wana sifa moja kubwa.

Huwa wanawaona wahudumu wa Bar hawavutii kwa uzuri wakati wanapoingia, lakini muda mfupi wakishalewa huwa wanawaona wahudumu hao kama malaika kwa uzuri.

Ulevi Noumaaa…………….

Pombe mwarobaini inatibu kila kitu
 
mtambuzi huoni kuwa unahatarisha ruhusa zetu za kwenda sitting room, maana hawa mashemeji zako wakisoma humu watatufuata hadi simba kapakatwa BAR.
 
Back
Top Bottom