Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Wanaume wote ambao huenda Bar kunywa na kulewa wana sifa moja kubwa.
Huwa wanawaona wahudumu wa Bar hawavutii kwa uzuri wakati wanapoingia, lakini muda mfupi wakishalewa huwa wanawaona wahudumu hao kama malaika kwa uzuri.
Ulevi Noumaaa…………….
Huwa wanawaona wahudumu wa Bar hawavutii kwa uzuri wakati wanapoingia, lakini muda mfupi wakishalewa huwa wanawaona wahudumu hao kama malaika kwa uzuri.
Ulevi Noumaaa…………….