Huwa UNAMBUSU??

Tafiti mbalimbali zinaonyesha kwamba busu ni kitu muhimu sana katika kukuza UPENDO.

Imefahamika kwamba kumbusu mwenza wako wakati wa kutoka nyumbani, kuteremka garini na wakati wa kurudi nyumbani au wakati wa kuagana mmoja wenu anaposafiri, hujenga mahusiano Imara sana. Busu limechukuliwa kama ni dawa (Remedy) ya kufufua uhusiano unaofifia fifia.

Je wewe huwa UNAMBUSU Mpenzio??

Baada ya kazi ngumu ya kupigika na box na visirani vya kufokewa na boss nahitaji mpenzi wa kunibembeleza,si kwa maneno ila kunitomasa tomasa kwa mikono yake laini yenye bangili,anipe busu mwanana la kunipumbaza ............!
 
Sasa mikono yako mbona inatetemeka mpaka unashindwa kuandika vizuri, au french kiss imekumaliza?

hahaha! Duh, kukisi si kazi ndogo. Huoni hamisi anaomba maji. Halafu nataka kumbusu preta, inaruhusiwa?
 
hahaha! Duh, kukisi si kazi ndogo. Huoni hamisi anaomba maji. Halafu nataka kumbusu preta, inaruhusiwa?
Mbusu shavuni ukimbusu mdomoni yatakuwa makubwa kama ya Madonna na kale kabinti katundu!!
 
Ila sasa mtu mwenyewe awe anajua kukiss sio kujazana mate tu mdomoni. Mkiwa wataalam hata hamna haja ya kukumbushwa, yani wakati wowote, popote inakuja yenyewe.

Raha sana!!
 
Ila sasa mtu mwenyewe awe anajua kukiss sio kujazana mate tu mdomoni. Mkiwa wataalam hata hamna haja ya kukumbushwa, yani wakati wowote, popote inakuja yenyewe.

Raha sana!!
Si afundishwe ili asiwajaze watu mate mdomoni!??
 
Back
Top Bottom