Hii imenifanikisha mara nyingi, inafika kipindi unapata majibu ya maswali hapo hapo kutoka kwaoMi nakupa technique hatari ambayo utanikumbuka daima .Jenga ujamaa/undugu na paneli ya washili. Take them as a one family wth u
hahaha mkuu ulipata kazi lakini?mimi nilidanganywa konyagi nikinywa ntaongea kingereza safi kbsa tena kwa kujiamini .nikaamka asubuhi nikanywa.kwenye interview nilijibu ata ambayo sikuulizwa dah

...nikamjibu... swali nililochoka ni kwa nini sijavaa tie 

... akasema kazi hanipi kwa sababu nimefaulu sana so ntamkimbia na pili sijavaa tiehahahahaha mkuu..ujue umenichekesha sana leoNyingine jamaa anauliza enhee unampango wakuendelea kusoma nikajibu ndio, mana nna diploma, akauliza kwanini hujajiendeleza mpk sasa nikamwambia sijapata ada mzee akasema kwaio unataka tukuajiri hapa uje utuibie upate pesa ya ada,toka hatuna nafasi hapa, nliishiwa nguvu aiseee i hate oral interviews
Hiyo lugha yakujua miezi 6 unafundishwa kwa Bluetooth?
one of the best comments mkuu,Ungeendelea kukomaa kama vile unapinga kutoka lakini wakikazia toka mzee.Aiseee oral nomaaa
Nakumbuka niliulizwa unafanya kazi gani kwa sasa nikajibu sina kazi yyte,kwanini huna kazi yoyote unaiba au pesa za vocha unapata wapi nikajibu ninakibiashara kidogo jamaa akasema nenda kaendeleze biashara yako hapa hatutoi mitaji
Uwe demu mweupe au black beauty mwenye shape.wakuu,nikisema kuwa huwa siitwi kwenye usaili nitakua namkosea mungu wangu bure.
kuanzia mwaka juzi nilipomaliza chuo nimehudhuria saili 15 kati ya hizo 6 zilikua ni oral interview ambazo kwa mtazamo wangu niliona kama nimefanya vizuri tu.kwa mfano kuna NGO moja ya kimarekani ina ofisi zao pale mikocheni waliwahi kutuita watu123 kwenye usail ambapo walikua wanataka watu wawili pekee,tulianza interview kwa kwa kupewa mtihani wa kuandika ambapo tulichujwa mpaka tukabaki watu 16 ambapo tukachujwa tena tukabaki watu 6 ambao tuliingia kwenye oral ya kwanza ambapo tukachujwa tena na tukabaki watu watatu ambao tuliingia final interview,lakini baadae me nikakosa kazi.
so wakuu kwenye oral huwa wannangalia nini ili na mie niboreshe niweze kupata kazi?
Sikupata mkuuhahaha mkuu ulipata kazi lakini?
Kwani mkuu ukifanya kazi serikalini kuna uspecial gani?Kuna sehemu nikituma maombi mkoa na ni serikalini tulitakiwa 2 tulioenda 53 tuliobaki kwenye oral 16 kwamimi Nilikua nasifa zote ila sikuitwa alikua kupewa mtoto wa mtawala na mwingine hata barua hakuandika simu tuu ilipigwa but yule ambae hakuandika barua alifanya mwezi tuu na kuomba kuacha kazi sababu hawezi Fanya kazi mkoani hivyo nikaitwa mie hadi Leo mwaka wa 4 tena serikalini