StraTon MemPhis GhaZar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 592
- 390
wanaangalia saana uweza wa kujiongeza kiutu uzima.... ukisikia oral sio ndo ujue dry.. weka pesa mbele hakuna cha buure utafanya saana usaili dadek... risk a sprat to catch a whale... dunia ni mwendo wa ngisi, kung'aa sio lazima star ashushwewakuu,nikisema kuwa huwa siitwi kwenye usaili nitakua namkosea mungu wangu bure.
kuanzia mwaka juzi nilipomaliza chuo nimehudhuria saili 15 kati ya hizo 6 zilikua ni oral interview ambazo kwa mtazamo wangu niliona kama nimefanya vizuri tu.kwa mfano kuna NGO moja ya kimarekani ina ofisi zao pale mikocheni waliwahi kutuita watu123 kwenye usail ambapo walikua wanataka watu wawili pekee,tulianza interview kwa kwa kupewa mtihani wa kuandika ambapo tulichujwa mpaka tukabaki watu 16 ambapo tukachujwa tena tukabaki watu 6 ambao tuliingia kwenye oral ya kwanza ambapo tukachujwa tena na tukabaki watu watatu ambao tuliingia final interview,lakini baadae me nikakosa kazi.
so wakuu kwenye oral huwa wannangalia nini ili na mie niboreshe niweze kupata kazi?
