Huwa nashangaa sana CHADEMA kumuona Putin shujaa halafu wanamkandia Magufuli!

CHADEMA wao wanasema wanataka demokrasia wakati wa siasa lakini Bado wanamuona Putin kama mfano. Hii ni contradiction kabisa.

Ona anavyoua wapinzani wenzake. Ameua Navanyi Akiwa gerezani ili tu agombee peke yake. Karibu wapinzani wake wote kaau wote hata prigogzin kamuua.

Anataka kufia madarakani kama Mbowe. Putin hatukuja kuachia kiti kile and yet CHADEMA wanamuona kama hero.

CHADEMA saa nyingine huwa ni ama akili kisoda au hawajui wanataka nini.
We mjinga sn, uliona CHADEMA wametoa official document ya kumuunga mkono Putin au maandiko ya Yeriko ndiyo CHADEMA?
 
CHADEMA wao wanasema wanataka demokrasia wakati wa siasa lakini Bado wanamuona Putin kama mfano. Hii ni contradiction kabisa.

Ona anavyoua wapinzani wake. Ameua Navanyi Akiwa gerezani ili tu agombee peke yake. Karibu wapinzani wake wote kaau wote hata prigogzin kamuua.

Anataka kufia madarakani kama Mbowe. Putin hatukuja kuachia kiti kile and yet CHADEMA wanamuona kama hero.

CHADEMA saa nyingine huwa ni ama akili kisoda au hawajui wanataka nini.
Unajua ulichoandika?
 
Mkuu CHADEMA kwenye siasa za kimataifa wengi ni watupu sana na wenye contradictions nyingi.
Kuna wanachedema wengi wanawahusudu Kiduku wa Korea Kaskazini, Kagame, Putin, Gaddafi n.k
Wewe na mtoa mada wote akili zenu ndogo.kama dunia ya sasa unashindwa kutofautisha mawazo binafsi ya mtu na tamko la chama nyie mtakua na shida yakufikiri.
 
Nguvu ya Urusi ikirudi chadema na vyama vingi vinafutwa. Kina Yeriko Nyenyere wanasahau wana uhuru wa kuongea na kukosoa sababu dola ya Urusi ilikufa, wangekuwa wapo Urusi muda huu ama wako jela au wamekufa.
 
Yeriko Nyerere ndiyo CHADEMA?

Kwani hakuna wana CCM wanao m support Putin?

Ukiwa na wana CCM wanao m support Putin, hilo lina maana CCM inam support Putin?

A.Hii ni logical fallacy ya non sequitur.

1.Yeriko Nyerwre supports Putin.
2.Yeriko Nyerere is a CHADEMA member.
3.Therefore, CHADEMA supports Putin.

Hapo hata kama 1 na 2 ni kweli, 3 umelazimisha kwa logical nonnsequitur.

"A non sequitur fallacy is a statement or conclusion that does not follow logically from what preceded it. Non sequiturs can be responses that have nothing to do with the conversation or flawed conclusions “based” on what preceded them."


B. Hii ni logocal fallacy ya strawman argument.

"A straw man fallacy (sometimes written as strawman) is the informal fallacy of refuting an argument different from the one actually under discussion, while not recognizing or acknowledging the distinction."

C. Hii ni logical fallacy, fallacy of composition.

"The fallacy of composition is an informal fallacy that arises when one infers that something is true of the whole from the fact that it is true of some part of the whole."

1. Kariakoo shimoni pananuka.
2. Kariakoo Shimoni pako Tanzania
3. Hivyo, Tanzania pananuka.
Naona umeamua kutoa kabisa darasa.Wako wengi sana wenye akili kama za mtoa mada.
 
CHADEMA wao wanasema wanataka demokrasia wakati wa siasa lakini Bado wanamuona Putin kama mfano. Hii ni contradiction kabisa.

Ona anavyoua wapinzani wake. Ameua Navanyi Akiwa gerezani ili tu agombee peke yake. Karibu wapinzani wake wote kaau wote hata prigogzin kamuua.

Anataka kufia madarakani kama Mbowe. Putin hatukuja kuachia kiti kile and yet CHADEMA wanamuona kama hero.

CHADEMA saa nyingine huwa ni ama akili kisoda au hawajui wanataka nini.

Tamko Hilo rasmi la CHADEMA liko wapi?

Tofautisha Chadema na makamanda uchwara.
 
CHADEMA wao wanasema wanataka demokrasia wakati wa siasa lakini Bado wanamuona Putin kama mfano. Hii ni contradiction kabisa.

Ona anavyoua wapinzani wake. Ameua Navanyi Akiwa gerezani ili tu agombee peke yake. Karibu wapinzani wake wote kaau wote hata prigogzin kamuua.

Anataka kufia madarakani kama Mbowe. Putin hatukuja kuachia kiti kile and yet CHADEMA wanamuona kama hero.

CHADEMA saa nyingine huwa ni ama akili kisoda au hawajui wanataka nini.
Tangu lini msimamo wa mtu mmoja mmoja ukawa msimamo wa chama au kundi Fulani!? Hii namna ya kufikiri au school of thought inaitwaje?
 
CHADEMA wao wanasema wanataka demokrasia wakati wa siasa lakini Bado wanamuona Putin kama mfano. Hii ni contradiction kabisa.

Ona anavyoua wapinzani wake. Ameua Navanyi Akiwa gerezani ili tu agombee peke yake. Karibu wapinzani wake wote kaau wote hata prigogzin kamuua.

Anataka kufia madarakani kama Mbowe. Putin hatukuja kuachia kiti kile and yet CHADEMA wanamuona kama hero.

CHADEMA saa nyingine huwa ni ama akili kisoda au hawajui wanataka nini.

Hata kama umaichukia CHADEMA, unatakiwa uwe na aibu kusema uwongo ulio wazi kiasi hiki.

Ni lini hao CHADEMA walisema wanamwunga mkono Putin, au uliwahi kusikia wakimsifia? **** kauli yoyote imewahi kutolewa na CHADEMA kama chama au na viongozi wake kumsifia dikteta Putin?

Putin ni muuaji, tena udikteta wake unazidi wa kiongozi yeyote wa Serikali ya CCM. Hata hayati Magufuli hakumfikia.

Miaka 10 iliyopita nilikutana na Warusi jijini Sao Paulo, wakitokea Moscow, waliyokuwa wakiyasema dhidi ya Putin yalikuwa yanatia kinyaa na kuleta simanzi kwa mtu yeyote anayeheshimu utu wa mwanadamu. Tofauti ya Putin na Kiduku wa North Korea ni ndogo sana, lakini wote ni madikteta, wote ni wauaji.
 
Back
Top Bottom