Huu uzembe hadi lini?

Huu uzembe hadi lini?

vicenttemu

Member
Joined
Nov 16, 2010
Posts
44
Reaction score
1
Mgonjwa kafanyiwa upasuaji, mkasi ukasahaulika mwilini. Taarifa zinasema mgonjwa amefariki. Mwaka juzi mwinine alipasuliwa kichwa badala ya mguu the same hospital! Inasikitisha sana. Najiuliza hivi kweli hospital zetu zina wataalamu wa ukweli au nimnini. ..... Uzembe huu na mwingine kama hiyo hadi lini?
 
Nadhani kuangalia kama ni 'uzembe' wa wataalamu tu peke yao si sawa au haki...kama hospitali ni hiyo hiyo, kuna uwezekano mkubwa sana pia ikawa ni kwa sababu ya 'system' mbovu ya taasisi husika. Tafadhali rejea ripoti ya tume iliyoundwa kuchunguza upasuaji 'criss-cross' wa kichwa na mguu, iliainisha kulikuwa natatizo kubwa zaidi la kimfumo. uchunguzi ni muhimu kabla ya kunyoosha vidole!
 
Back
Top Bottom