Huu utaratibu wa TBS utaumiza sana watu!!

Kwa TBS, ni tofauti lazima gari lifikie viwango, ndio wanatuma certificate TRA, ili mchakato wa kulipa kodi uendelee, kama hlijatimiza vigezo, litatolewa bandarini, na kupelekwa sehemu ukalitengeneze kwanza, ndio walikague tena!!
Hapa ndio pale ambapo gari italazimika kufungwa vipuri orijino kutoka kwa mjapani KYOTO au YOKOHAMA 😂😂😂
picha linaanza shockup 4 million na laki 2! Ndio TBS wanazitaka,, unaijua TBS wewe?
 
Sasa hayo matengenezo na ukaguzi vinawahusu nini lakini mbwa hawa?!

Kwanza wamekubaliana na nani kuhusu huo utaratibu usioeleweka?!

Kama system ya kwanza haikuwa na shida kwann wanaibadilisha sasa?! Mbona wamekalia upumbavu hawa watu lakini....?!
usiwe mwepesi wa kupanic, tofauti ya utaratibu wa mwanzo na huu wa sasa ni kuwa mwanzo ukaguzi wa magari ulifanyika nje na mawakala na sasa ukaguzi utafanywa hapa hapa nchini.
 
Na sidhani kama kuna mdau yeyote yule kashirikishwa kwenye hili.

Decision makers wa nchi hii wengi wao ni mental case.

Mambo ambayo raia wanayalalamikia miaka yote hawajishughulishi nayo ila hukimbilia ambayo hakuna mwenye shida nayo.

Kuna mtu amelalamikia ukaguzi wa magari nje?
 
usiwe mwepesi wa kupanic, tofauti ya utaratibu wa mwanzo na huu wa sasa ni kuwa mwanzo ukaguzi wa magari ulifanyika nje na mawakala na sasa ukaguzi utafanywa hapa hapa nchini.
hilo kila mtu anafam jaribu kuelewa watu wanachokijadili
 
Kazi zikizidi, magari yakiongezeka ukaguzi hapo ni wiper kama zinafanya kazi, honi, taa, matairi, vioo na starter tu, unalipia $140 unakabidhiwa kagari kako, finish
 
Hahahhaha yaan hapa mkuu ndoto zote za kununua gari zimepotea
 
Karibuni kwenye group la what'sapp LA magari 0748 133 122 lengo ni kuzidi kupashana kuelimishana, andika neno niunge nitakuunga
 
Bongo bhana wana utani wanataka haka kapasso kangu kakatestiwe si utani huo ndugu zangu wakimaliza ya kuagiza wataanza yalio ndani lazima yakaguliwe kwa kulipia....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…