Mzee wa fact
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 234
- 183
Kuna huu utamaduni umejengeka kwenye jamii zetu eti ukiwa na mtoto mchanga ambaye bado hajaanza kutembea ukifanya mapenzi unambemenda au mtoto uliyemtahiri kidonda chake huwa hakiponi.
Kuna mahusiano gani hapo?
Kuna mahusiano gani hapo?