Huu uonevu wa wanajeshi Ikulu usifumbiwe macho

Huu uonevu wa wanajeshi Ikulu usifumbiwe macho

Hahahhahaaa ni kweli Mpwa, nimeshindwa kutaja japo moja! Dah inauma sana

Jana/juzi imetoka ripoti ya matumizi ya nguvu yasio na lazima yaliofanywa na jeshi la polisi kwenye mkutano wa Cuf kule mbagala. Nani wa kuifanyia kazi hiyo ripoti wakati nchi nzima viongozi ni corrupt?
 
Elli

Mkuu tatizo la askari wa Tanzania hawajui kuelekeza au kuonya wao wanachojua ni kutoa adhabu tu kwa kupiga na hadi kuua. Angalia hata askari wa barabarani. Kosa dogo tu la kumuelekeza dereva wao wanapiga bao au kundika notification. Hawana lugha nyingie zaidi ya ubabe.

Ndo maana utaoana hata wakati mwingine wamemkamata mtu ambaye amesha tii amri wao wanaendelea kumshushia marungu na mateke. Akiingia ndani ya gari yao wanamkanyaga. Yaani ni kama wamefundishwa roho za kinyama tu hawana ubinadamu hata kidogo.

Kuna mmoja huko huko magogoni aliteswa sana na askari kwa kosa la kugusa ukuta wa ikulu. Kama ni kosa alipaswa kuelekezwa kwakuwa hakuna mahali pameandikwa "USIGUZE WALA KUEGEMEA UKUTA WA IKULU" Ni

kweli kama ulivyosema wakati mwingine raia wanakosea kwa kutokujua tu na si makusudi. Kama huko katikati ya mji baadhi ya barabara zimebadilishwa mielekeo sasa mwingene anaweza kukosea sababu ya ugeni au kutojua sasa askari wakikamata badala ya kuelekeza wao ni mabao tu! Inabidi askari wetu wabadilike sana kwani wanajenga chuki na uadui na raia bila sababu za msingi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu tatizo la askari wa Tanzania hawajui kuelekeza au kuonya wao wanachojua ni kutoa adhabu tu kwa kupiga na hadi kuua. Angalia hata askari wa barabarani. Kosa dogo tu la kumuelekeza dereva wao wanapiga bao au kundika notification.

Hawana lugha nyingie zaidi ya ubabe. Ndo maana utaoana hata wakati mwingine wamemkamata mtu ambaye amesha tii amri wao wanaendelea kumshushia marungu na mateke. Akiingia ndani ya gari yao wanamkanyaga.

Yaani ni kama wamefundishwa roho za kinyama tu hawana ubinadamu hata kidogo. Kuna mmoja huko huko magogoni aliteswa sana na askari kwa kosa la kugusa ukuta wa ikulu. Kama ni kosa alipaswa kuelekezwa kwakuwa hakuna mahali pameandikwa "USIGUZE WALA KUEGEMEA UKUTA WA IKULU"

Ni kweli kama ulivyosema wakati mwingine raia wanakosea kwa kutokujua tu na si makusudi. Kama huko katikati ya mji baadhi ya barabara zimebadilishwa mielekeo sasa mwingene anaweza kukosea sababu ya ugeni au kutojua sasa askari wakikamata badala ya kuelekeza wao ni mabao tu! Inabidi askari wetu wabadilike sana kwani wanajenga chuki na uadui na raia bila sababu za msingi.

Umeongea vyema sana sana. Asante mpwa
 
Labda kama ulipita ukakuta ivo, ishanitokea nlikua na mtu wangu kweny lile eneo nyuma ya ikulu kiukweli hatuakua tumekaa kistaarab, kumbe wao wanatutazama tuu na wamevaa kiraia. So wakat tunaondoka wakatufuata wawil tukapigishwa magoti kwanza mnh ilkua ngum ila walikua na sura ya kaz tukatiii, wakatupa sababu ya kufanya vile kwamba si ustaarab maana ile njia inapita wagen wengi wa ndan na nje

sasa tukikaa vile haitaleta maana then wakasema kunakua na camera zinazoangalia upande akauliza mnajiskiaje mtu akiangalia camera anawakuta nyie mnafanya vile. Tulikubal kosa, na hatukudhalilishwa zaid na hawakukataa kuja pale kujisomea ila yale mambo ndo haipendez. So sometime wanafundisha ustaarab na ukiwa msikivu wala hamtafikishana mbali. Niliwaelewa na tulijifunza kitu
 
Ikulu si mahali pakuchezea .pale kuna bango kabisa linasema marufuku kukaa au kupita eneo hili sasa wewe unapita unategemea nini? Na bahati yenu mnakutana na field soilders mngetana na peper soilders mngekuwa mnapelekwa mahakamani na segerea mngelkwenda.safi sana walinzi wa ikulu ila muwe mnawapeleka jela wakasaidie kilimo cha mahindi na kupasua mawe ya kujengea magereza na reli kuliko hiyo kichurachura maana unamfanya awe na afya bora kwa hayo mazoezi.
 
Ikulu si mahali pakuchezea .pale kuna bango kabisa linasema marufuku kukaa au kupita eneo hili sasa wewe unapita unategemea nini? Na bahati yenu mnakutana na field soilders mngetana na peper soilders mngekuwa mnapelekwa mahakamani na segerea mngelkwenda.safi sana walinzi wa ikulu ila muwe mnawapeleka jela wakasaidie kilimo cha mahindi na kupasua mawe ya kujengea magereza na reli kuliko hiyo kichurachura maana unamfanya awe na afya bora kwa hayo mazoezi.

Nyerere alisema ikulu ni mahali patakatifu, nyinyi mnasema si pa kuchezea! Onyesheni kwa vitendo,na kusema vitendo sina maana kurusha watu kichurachura!
 
Siku zote hao wanaolinda ikulu au nyumbani kwa waziri mkuu osterbay. ...huwa hawana adabu kabisa ni mijitu ya ajabu sana
Hata ukipita nyuma ya nyumba ya waziri mkuu obay lazima watakuzingua.
Hawajui kuelekea wao wanachojua ni kukupa adhabu
 
Wapumbavu wale, am sorry to say this, ila nimeshuhudia mara nying wakiwasulubu watu pale, had nikajiuliza hiv huu ndo ulinzi ambao mfalme wetu kajiwekea? na picha zao vry soon nitazipata nizilete humu, cz kuna siku walimkamata mtu pale wakamtesa then ikaja vx ya black inaprivate number inaanz8a na A nafkir ikamchukua pale wakatokomea. Sikuwa na camera siku hyo
 
Siku zote hao wanaolinda ikulu au nyumbani kwa waziri mkuu osterbay. ...huwa hawana adabu kabisa ni mijitu ya ajabu sana
Hata ukipita nyuma ya nyumba ya waziri mkuu obay lazima watakuzingua.
Hawajui kuelekea wao wanachojua ni kukupa adhabu

Jeshi/ wahusika waache ubabe wa kitoto. Kwani ukimuelimisha mtu utapungukiwa na nini!!
 
With Google maps, hiyo ya usipige picha eneo hili imepitwa na wakati, mbaya zaidi majeshi yetu ni anti_citizen hasa police! JWTZ ni individuals tuu

tatizo lingine wanajeshi na polisi wetu wa kitanzania hasa wale wenye umri above 40,wengi wao ni BBCs (born before computers),ukipita jirani na makambi yao halafu ukaelekeza ka-smartphone kako au ka-compact camera uelekeo wa kambi zao ,wanajua umepiga picha kwa lengo baya.

laiti kama wangejua,siku hizi kujua ramani za ndani za hayo makambi,sio lazima uwepo jirani nayo,wasinge fanya uonevu wa kuwapiga wananchi wanao jipigia selfies kiholela jirani na kuta za hizo kambi.

google earth inathibitisha ninacho kisema,tazama.
magagoni street.jpg
airwing.jpg
 
tatizo lingine wanajeshi na polisi wetu wa kitanzania hasa wale wenye umri above 40,wengi wao ni BBCs (born before computers),ukipita jirani na makambi yao halafu ukaelekeza ka-smartphone kako au ka-compact camera uelekeo wa kambi zao ,wanajua umepiga picha kwa lengo

laiti kama wangejua,siku hizi kujua ramani za ndani za hayo makambi,sio lazima uwepo jirani nayo,wasinge fanya uonevu wa kuwapiga wananchi wanao jipigia selfies kiholela jirani na kuta za hizo kambi.

google earth inathibitisha ninacho kisema,tazama.
View attachment 253453
View attachment 253454

HAHAAAAA

Tatizo sio wao ni ukale tu.

Yaan kuna kitu unaweza kuta askari ndani ya uniform ana argue kwa jazba ukaishia kucheka kimoyo moyo.

Sasa mfano hao jamaaunaweza anza kuona maajabu ya mfumo wetu wa ujasusi nchini ulivyo wa ajabu.hao ndio maofisa wa hitimu wa tiss.

Officer hajui kuwa ili amuwajibishe muharifu,sharti awe amaemtahadharisha kabla.rejea kambi za jeshi na vibao vya tahadhari.

Officer hajui kuwa anapokuwa yuko na siraha ya kivita hatakiwi kutoa adhabu kwa mpita njia,dereva,kibaka.maana hujui huyo labda katumwa kuja kuwapoteza maboya.

Officer kasahau pia kuwa kuongoza magari sio kazi yake maana yanapita hapo siku zote.na kama kuna mabadiriko kibao kinahisika sio yeye nasiraha.

Kifupi ni kwamba wanatumia ujinga wa wananchi kuwasumbia,ndio maana akiwa mzungu wanaufyata.
 
Ilimkuta mshkaji hiyo alikuwa ameenda joging kuke. Ushamba uliopindukia, hata kwa Obama kwenyewe unaingia hadi ndani unapewa tour!
 
Lile soko walifunge wawatafutie soko sehemu ingine.
Watumie Usalama wa Raisi kama kigezo basi litafungwa tu.

Ila Raia nao unajua kabisa pale ni Ikulu wapita kufata nini. Mimi nina miaka hata nimesahau rangi ya ukuta wake
Sasa kama wewe ni msahaulifu kwa sababu ya kukaa muda mrefu bila kuuona ukuta wa ikulu umejuaje kuwa ukuta huo una rangi?
 
Ikulu si mahali pakuchezea .pale kuna bango kabisa linasema marufuku kukaa au kupita eneo hili sasa wewe unapita unategemea nini? Na bahati yenu mnakutana na field soilders mngetana na peper soilders mngekuwa mnapelekwa mahakamani na segerea mngelkwenda.safi sana walinzi wa ikulu ila muwe mnawapeleka jela wakasaidie kilimo cha mahindi na kupasua mawe ya kujengea magereza na reli kuliko hiyo kichurachura maana unamfanya awe na afya bora kwa hayo mazoezi.

Anayechezea Ikulu ni nani sasa, wa ndani au wa nje? Na askari anayelinda wa ndani anayechezea naye anacheza. IKULU ENZI HIZO
 
HAHAAAAA

Tatizo sio wao ni ukale tu.

Yaan kuna kitu unaweza kuta askari ndani ya uniform ana argue kwa jazba ukaishia kucheka kimoyo moyo.

Sasa mfano hao jamaaunaweza anza kuona maajabu ya mfumo wetu wa ujasusi nchini ulivyo wa ajabu.hao ndio maofisa wa hitimu wa tiss.

Officer hajui kuwa ili amuwajibishe muharifu,sharti awe amaemtahadharisha kabla.rejea kambi za jeshi na vibao vya tahadhari.

Officer hajui kuwa anapokuwa yuko na siraha ya kivita hatakiwi kutoa adhabu kwa mpita njia,dereva,kibaka.maana hujui huyo labda katumwa kuja kuwapoteza maboya.

Officer kasahau pia kuwa kuongoza magari sio kazi yake maana yanapita hapo siku zote.na kama kuna mabadiriko kibao kinahisika sio yeye nasiraha.

Kifupi ni kwamba wanatumia ujinga wa wananchi kuwasumbia,ndio maana akiwa mzungu wanaufyata.

Mkuu umenifumbua macho, kumbe ni makosa kutoa adhabu ukiwa umebeba silaha
 
Mkuu umenifumbua macho, kumbe ni makosa kutoa adhabu ukiwa umebeba silaha

Yah.

Siraha ina miiko yake,unapoibeba.Ili kuepusha matumizi yasiyokusudiwa.

Hutakiwi kujibizana na mtu ukiwa nayo pia kumpa adhabu maana akikujibu mbovu,unaweza kutumia siraha hiyo kwa mtu ambaye hakustahiri adhabu hiyo(mtu kashika ukuta unampiga rusasi)

Unahamishia umakini wote kwa unayempa adhabu,unasahau jukumu lako lililokuweka hapo na siraha(rejea mauaji ya polisi kizingiti cha pwani.)Waharifu wenye weredi hiyo ni nafasi nzuri sana.

Mwisho,wewe ni raia mwenye kosa sio mateka wa kivita.

Huwa wanakusumbua sana wakiona huna unachojua.
 
Yah.

Siraha ina miiko yake,unapoibeba.Ili kuepusha matumizi yasiyokusudiwa.

Hutakiwi kujibizana na mtu ukiwa nayo pia kumpa adhabu maana akikujibu mbovu,unaweza kutumia siraha hiyo kwa mtu ambaye hakustahiri adhabu hiyo(mtu kashika ukuta unampiga rusasi)

Unahamishia umakini wote kwa unayempa adhabu,unasahau jukumu lako lililokuweka hapo na siraha(rejea mauaji ya polisi kizingiti cha pwani.)Waharifu wenye weredi hiyo ni nafasi nzuri sana.

Mwisho,wewe ni raia mwenye kosa sio mateka wa kivita.

Huwa wanakusumbua sana wakiona huna unachojua.

Nadhani wahusika wapo humu , watashughulikia huo ushauri wako
 
Kwani ikulu inalindwa na wanajeshi au ffu na usalama wa taifa? Sasa wanajeshi wanatokea wapi?
 
Back
Top Bottom