Huu unafiki wa Lowassa unatisha

Huu unafiki wa Lowassa unatisha

data

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2011
Posts
26,943
Reaction score
23,884
Haya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?

Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.
 
Haya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?

Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.

Watu wanahama dini seuse chama Mwenye nacho J.K.Nyerere alishawaambia ccm sio baba wala mamake mkiendelea kum.boa amgehama chama na nina imani hadi leo angalikuwepo angekuwa na kadi ya c.d.m siku nyiingii.
 
Ndiyo mafisadi walivyo kuropoka hovyo bila kumua wafanye lipi la manufaa kwa jamii.
 
Eti tembo wameuawa mara dufu! Huyu mtu huyu ni wa hatari sana.
Yeye alikuwa wapi?
 
Hakuna rangi mtaacha kuiona mwaka huu! Ndio hivyo keshawatosa mwenzenu
 
uchu wa madaraka tu, sijui ikulu kuna nini. sana sana ataiba ili alipe fadhila kwa matajiri. Watanzania tuamke, kamwe amaetumia mbinu na nguvu nyingi kuingia ikulu ni wa kuogopwa kama ukoma

Nyie mnatumia nguvu kidogo!? Sema kwishney!
 
Haya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?

Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.
Mkuu doctor bado hajaleta dawa wewe
umeanza kelele? subili dawa kwanza na
 
Kaka,kila mtu ana uchu,kwamfano wewe unauchu wa kumsema lowasa,na umetekeleza kwa kumsema hapa jf.sasa yeye kutafuta namna ya kutekeleza uchu wake kisikuume sana,tena bila yeye kutekeleza uchu wake wewe Ungesema nini?.tusimame katikati tusiwe na upande tusubiri kimya kimya tar ifike
 
Haya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?

Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.

Hayo ndiyo yalimfanya agombee ili ayarekebishe na si visasi kama unavyosema.
 
Jibu hoja zake,pumba hazisaidii.Watu wanahama makabila sembuse chama.Kwani CCM mama yake
 
Tembo wameuwawa kipindi hiki pinda akiwa PM,wakati Wa lowasa hakuna alithubutu kufanya hivyo,pia wakati Wa lowasa alishaeahi kuwaambia mamlaka ya bandari kuwa hataki kuona kaxi zinacmama lazima kazi ifanyike SAA 24,alipoondoka tu uwaziri mkuu,uozo ukajirudia...
 
Back
Top Bottom