Captain mopao
Senior Member
- Feb 25, 2021
- 133
- 379
Habari za mchana ndugu zangu,
Kuna dada mmoja alikuja home kutafuta chumba cha kupanga tukamuonesha chumba kimoja akakisafisha kesho yake akaja na mumewe kumuonesha.
Mume akadai chumba hajakipenda wakaondoka baada ya week akarudi tena, kile chumba kikawa kimepata mteja tukamuonesha chumba kingine.
Akasafisha akahamia jioni, jambo lililonifikirisha ni umaskini alionao huyu mama. Imagine ana watoto wanne hana kitanda wala gogoro yani yeye pamoja na mumewe na watoto wanalalia mkeka hata stuli moja tu hamna, ni nguo na vyombo vya ndani tu.
Najiuliza mumewe alikua na jeuri gani ya kukataa chumba kile wakati yeye hana kitu ndani.
Dunia ina maajabu hii, mume mlevi wa kutupwa dah poleni kina mama.
Kuna dada mmoja alikuja home kutafuta chumba cha kupanga tukamuonesha chumba kimoja akakisafisha kesho yake akaja na mumewe kumuonesha.
Mume akadai chumba hajakipenda wakaondoka baada ya week akarudi tena, kile chumba kikawa kimepata mteja tukamuonesha chumba kingine.
Akasafisha akahamia jioni, jambo lililonifikirisha ni umaskini alionao huyu mama. Imagine ana watoto wanne hana kitanda wala gogoro yani yeye pamoja na mumewe na watoto wanalalia mkeka hata stuli moja tu hamna, ni nguo na vyombo vya ndani tu.
Najiuliza mumewe alikua na jeuri gani ya kukataa chumba kile wakati yeye hana kitu ndani.
Dunia ina maajabu hii, mume mlevi wa kutupwa dah poleni kina mama.