Huu ulinzi wa Gwajima vipi?

Nchi yenu ndipo ilipofikia. Na ndo maana hata Bashite kaongezewa ulizi na ndo maana mabaka sasa hatuji bwana Ben yupo wapi na ndo maanaa hata Magufuli analindwa balaaa na ndo maana kila mmoja wetu ailifanikiwa kujenga nyumba kaweka.bonge la ukuta na geti kibwaaaaa madilisha ya chuma
 
Mazoezi Mchana? nao pia Wamevamia Iundwe Kamati hakuna aliye juu ya Sheria hata kama Wameenda Mchana na sio mausiku ya night
 
Hivi hilo Hammer ndo alinunuaga kwa ZZK? Just curiosity. Nimelipenda bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…