Mimi ananifurahishaga tu anavyotamka Daudi Albert Bashite almaarufu kama Paul Makonda.Gwajima huwa ananifurahishaga sanaa....hasa akianza kuongelea chopa yake
Kwenye nchi ipi kama gwajima ni ni muuzaji au ajenti wa unga nani ange mwacha acha kuongea unahokijua kuwa unadanganya wewe.mbona kawaida tu kwa drug lord kuwa na ulinzi kama huo.
Na kulindwa na swiss guards ....imported security servicehushangai papa kutembea ndani ya gari "bomb proof"
Haha, saa zingine anamuitaga eti yule kiumbe yuleMimi ananifurahishaga tu anavyotamka Daudi Albert Bashite almaarufu kama Paul Makonda.
, Mungu amuweke huyu baba tuendelee na hii season ya BashiteAn ahahahahaa haha haha tupo wengi, anakwambia nikatua hapa,nikatua hapa, nikatua pale, nikatua daresalamaGwajima huwa ananifurahishaga sanaa....hasa akianza kuongelea chopa yake














Hiyo siku ya kutua hapa kutua pale jamani nilicheekaaa, itabidi jumapili ijayo niende tu ufufuo na uzimaAn ahahahahaa haha haha tupo wengi, anakwambia nikatua hapa,nikatua hapa, nikatua pale, nikatua daresalama![]()
Anavyotamka kwa madaha sasa na kwa kuvutaMimi ananifurahishaga tu anavyotamka Daudi Albert Bashite almaarufu kama Paul Makonda.