Huu ukaaji kwenye msiba wa Lowassa umepangwa kwa kuzingatia nini?

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,606
29,755
Mhe. Rais ameketi katikati. Na tunazingatia kuwa upande wa kushoto ameketi mjane na familia ya Hayati Lowassa.

MKono wake wa kuume wamekaa viongozi wa kitaifa. Lakini swali langu ni kuwa baada ya Rais ameketi CDF yaani Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama General Mkunda., halafu baada ya hapo anafuata Makamu wa Rais na wengine kiprotokali.

Huu mpango wa kukaa umezingatia vigezo gani?
 
CCM km CCM ktk Moja na mbilii ,,,mama ajuee akitokaa hapo msiban shidaa ya umeme ipo pale pale na ajuee wengine wamekosa kuangalia live kisa Tabasco wamekataa saa Moja tu asubuh
 
Mhe. Rais ameketi katikati. Na tunazingatia kuwa upande wa kushoto ameketi mjane na familia ya Hayati Lowassa.

MKono wake wa kuume wamekaa viongozi wa kitaifa. Lakini swali langu ni kuwa baada ya Rais ameketi CDF yaani Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama General Mnkunda., halafu baada ya hapo anafuata Makamu wa Rais na wengine kiprotokali.

Huu mpango wa kukaa umezingatia vigezo gani?
huo ndio utaratibu wa kuzika kiongozi wa kitaifa anapokufa
 
CCM km CCM ktk Moja na mbilii ,,,mama ajuee akitokaa hapo msiban shidaa ya umeme ipo pale pale na ajuee wengine wamekosa kuangalia live kisa Tabasco wamekataa saa Moja tu asubuh
Kauli ya kipuuzi kabisa hii

Hoji na mizinga basi…. Au kwanini jeshi lipo pale

Mnajipumbaza kWa kushambulia chama wakati tatizo liko kwenu msiotaka kujifunza na kujituma
 
Mhe. Rais ameketi katikati. Na tunazingatia kuwa upande wa kushoto ameketi mjane na familia ya Hayati Lowassa.

MKono wake wa kuume wamekaa viongozi wa kitaifa. Lakini swali langu ni kuwa baada ya Rais ameketi CDF yaani Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama General Mkunda., halafu baada ya hapo anafuata Makamu wa Rais na wengine kiprotokali.

Huu mpango wa kukaa umezingatia vigezo gani?
Nilidhani peke yangu ndo sijaelewa
 
Back
Top Bottom