Huu ujumbe usomwe na wanaume tuu

Huu ujumbe usomwe na wanaume tuu

Asillimia kubwa ya wababa wanaoteseka uzeeni huku wanao watoto walio. Wasomesha vema na wanajitegemea au wanayamudu maisha vema alikuwa hivi ujanani-;
1.ALIMTESA NA KUMNYANYASA MKE NA WATOTO AU MKE TU.na watoto wakajua ho waziwazi
2.HAKUITHAMINI FAMILIA
3.ALIKUWA MTU WA TOTOZ
4.MLEVI N.K
5.ALIJALI JAMAA NA MARAFIKI KULIKO FAMILIA.
6.MBINAFSI
:Amewasomesha vemA na wanajielea"

Alafu alikua mlevi,mbinafs na hajali familia?
 
Mkuu Hawachi karibu hapa
Asante hii inategemea umeishi vipi na Familia haiwezekani watoto uwalee vizuri wasikujali uzee, tukija upande wa mama pia haiwezekani awalishe watoto sumu wasikujali lazima kuwe na sababu tu na kama vitu vyote ulifanya basi ina bidi uangalie historia yako kama hukuwajali Wazazi wako lazima history ikuludie kwa wanao.
 
Ujumbe kwa wanaume watoto ni wamama huelewitu.
Kumbuka pia unaweza ukafa kwa utapiamlo wakati unamabilioni pembeni ya kitanda chako. Pesa yako haitatoka ndani kwenda kukununulia chakula wala haitakuogesha uzeeni, hivyo ni wajibu wa watoto wako kukulea endapo watakuwa wastaarabu. Wastaarabu kwa vipi! Pamoja na pesa yako kuwepo wanaweza kuitumia kwa mambo yao binafsi na wewe kukutelekeza bila chakula na usafi.
 
Jidanganye utakuja kujinyea.
Asante hii inategemea umeishi vipi na Familia haiwezekani watoto uwalee vizuri wasikujali uzee, tukija upande wa mama pia haiwezekani awalishe watoto sumu wasikujali lazima kuwe na sababu tu na kama vitu vyote ulifanya basi ina bidi uangalie historia yako kama hukuwajali Wazazi wako lazima history ikuludie kwa wanao.
 
Jidanganye utakuja kujinyea.
Naamini kabisa nitapata watu wa kuyazoa ukiona mtu uzeeni hana mtu wa kujali basi aliutumia ujana vibaya kuwasomesha watoto si kigezo waje kukujali je uliwaonesha mapenzi kama baba bora, Sio bora baba
 
sasa kama aliwasomesha vema nikitu cha msingi anadeni gani tena kwao ,akiwasomesha vema inamaana chakura ,malazi hua yanaenda sambamba na elimu ,hapo Mimi sijakuelewa ulitaka ikifika usiku napo awaite waje wamsaidie kwa mama yao,wadanganye watoto wenzio.
Asillimia kubwa ya wababa wanaoteseka uzeeni huku wanao watoto walio. Wasomesha vema na wanajitegemea au wanayamudu maisha vema alikuwa hivi ujanani-;
1.ALIMTESA NA KUMNYANYASA MKE NA WATOTO AU MKE TU.na watoto wakajua ho waziwazi
2.HAKUITHAMINI FAMILIA
3.ALIKUWA MTU WA TOTOZ
4.MLEVI N.K
5.ALIJALI JAMAA NA MARAFIKI KULIKO FAMILIA.
6.MBINAFSI
 
Ukioa uchagani jiandae na hayo ya kwenye hio story!
 
Basi wewe ni baba bora yaishe ,ila wapo baba wa mashoga sijui nawao siyo baba bora je,kwa uelewawako wewe baba hawa duniani walikuja kimakosa ila wewe baba bora.
Naamini kabisa nitapata watu wa kuyazoa ukiona mtu uzeeni hana mtu wa kujali basi aliutumia ujana vibaya kuwasomesha watoto si kigezo waje kukujali je uliwaonesha mapenzi kama baba bora, Sio bora baba
 
Back
Top Bottom