G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,335
- 5,184
Nimejaribu kuizunguka Kinondoni nikiwa katika shughuli zangu binafsi huku nikijua fika pia kuwa kuna uchaguzi wa ubunge, lakini cha ajabu tofauti na uchaguzi uliopita nakutana na mabendera mengi ya CCM za CHADEMA na CUF zinakuwa za kuhesabu.
Najua watu ndo wanapiga kura na si bendera, lakini kiuhalisia naona kuna mdororo fukani haswa kwenye kambi ya upinzani, au hela hazipo za kuwapa vijana kuhamasisha au kwasababu ya mwingiliano wa CUF na CHADEMA umeleta mgawanyiko kwa vijana wahamasishaji, hata boda boda hawana ile hamasa tuliyoizoea tatizo ni nini?
Najua watu ndo wanapiga kura na si bendera, lakini kiuhalisia naona kuna mdororo fukani haswa kwenye kambi ya upinzani, au hela hazipo za kuwapa vijana kuhamasisha au kwasababu ya mwingiliano wa CUF na CHADEMA umeleta mgawanyiko kwa vijana wahamasishaji, hata boda boda hawana ile hamasa tuliyoizoea tatizo ni nini?