Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,978
- 32,387
nilikuwa na naendeleakuamini kwamba Dr. Ulimboka steven aliyetekwa,kuteswa na kutupwa katika msitu wa pande alianika taarifa zote za msingi kuhusu kutekwa kwake kabla ya kwendaSouth africa kutibiwa, alifanya mahojiano ambayo yalirekodiwa na yako katka mtandao wa U-tube, amesema kuanzia nani aliyempigia simu,amesema aliyempigia simu anafanya kazi wapi, ameeleza vizuri jinsi alivyotekwa na kuteswa na watu ambao yeye aliwaita kuwa wako trained,[ni kutokana alivyowaona yeye], alieleza jinsi alivyopelekwa kwenye jumba ambalo pamoja na yeye [ulimboka] kupiga kelele hakuna mtu aliyejitokeza kumsaidia. Gazeti la Mwanahalisi lilikuja na namba na majina ya watu waliofanya mawasiliano na Doctor Ulimboka kwa mara ya mwisho, lenyewe limeishia kufungiwa tu!
Mkuu kwa hiyo wewe uamini tena chochote kitakachosemwa na Dr Ulimboka zaidi ya yale maneno aliyosema hawali...na ukweli kwa upande wako ni habari iliyoletwa na Mwanahalisi.