Huu sasa ni mtihani

Huu sasa ni mtihani

Hata demu sina mkuu hata mda wa kutongoza sina c unajua vijana waliokulia dini nadhani unaelewa,nikiwa na mda ni mzaoezini na church
Kwani Kanisani Hakuna dada mwenye tabia nzuri, hakuna dada anayejiheshimu, hakuna dada anayefanya kazi kwa bidii, hakuna dada aliye na heshima kwa watu wazima na watu wote, hakuna dada mcha Mungu, HAKUNA dada UNAYEVUTIWA naye?
 
Kwani Kanisani Hakuna dada mwenye tabia nzuri, hakuna dada anayejiheshimu, hakuna dada anayefanya kazi kwa bidii, hakuna dada aliye na heshima kwa watu wazima na watu wote, hakuna dada mcha Mungu, HAKUNA dada UNAYEVUTIWA naye?
Sijaona mkuu,hata kazini kwangu bado nawaona wakawaida tu
 
Wana haki ya kukwambia uoe, na nafikiri ww malez ya din yamekupumpaza, hatukatai kuw uwe mcha Mungu ila kumbuka na maisha ya dunian pia unatakiw uyaishi, utandawaz mwing xaiv hujawez kukopy hata vijana wenzio mzee, mm nna 26 xaiv na mi mwenyew nimelelew kweny din xan maan mzee wang mm n pastor wa kanisa na form one had 4 nimesoma xhule ya kidin ila nilipo fika advance nikaona huu n usenge natakiw niishi kam mazingira yanavyonitak niishi, toka hapo nilianza tafuna pisi nikaw mtandawazi mpak leo cjaoa na nna madem kadhaa kwa hyo hata hawawez niulza naoa lin au wanitaftie
Una miaka 26 unaandika xhule, xana...kudadeki
 
Wana haki ya kukwambia uoe, na nafikiri ww malez ya din yamekupumpaza, hatukatai kuw uwe mcha Mungu ila kumbuka na maisha ya dunian pia unatakiw uyaishi, utandawaz mwing xaiv hujawez kukopy hata vijana wenzio mzee, mm nna 26 xaiv na mi mwenyew nimelelew kweny din xan maan mzee wang mm n pastor wa kanisa na form one had 4 nimesoma xhule ya kidin ila nilipo fika advance nikaona huu n usenge natakiw niishi kam mazingira yanavyonitak niishi, toka hapo nilianza tafuna pisi nikaw mtandawazi mpak leo cjaoa na nna madem kadhaa kwa hyo hata hawawez niulza naoa lin au wanitaftie

Ukaona ni useng£
 
Hata demu sina mkuu hata mda wa kutongoza sina c unajua vijana waliokulia dini nadhani unaelewa,nikiwa na mda ni mzaoezini na church

Ulikulia kwenye malezi bora ya dini ya kikristo halafu baba yako alikuwa na wake wanne?.. we endelea kutupumbaza tu
 
Ulikulia kwenye malezi bora ya dini ya kikristo halafu baba yako alikuwa na wake wanne?.. we endelea kutupumbaza tu
Huwezi kuelewa,na hutanielewa labda wenye akili watakuelewasha,kuna ukristo na uslamu.dadavua
 
Back
Top Bottom