Huu sasa ni mtihani

Huu sasa ni mtihani

Midazolam

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
807
Reaction score
1,348
Wakuu naomba niende kwa mada

Mimi ni mtoto wa mwisho kwenye familia ya mzee kwa upande wa mama,japo mzee alikuwa na wake wanne.

Na mama ndo alikuwa mke wa kwanza.Japo mzee alishatangulia mbele za haki,apunzike kwa amani

Kuna umri ukifika utaanza kusikia au maneno maneno kutoka kwa wazazi kuwa unasubiri nini mda unaenda oa nione wajukuu angali nikiwa hai,na wazazi wangu nawapenda sana.

Sasa mtihani siyo kuoa tu lazima niangalie mwanamke wa kuoa sitaki kukurupuka,imefika mpaka nasikia kama vipi tumtafutie japo kwangu ni ngumu sana kutafutiwa na hata wao wanajua siwezi kukubali hata kwa bunduki haiwezekani

Vijana wenzangu nyie ambao au mliweza kupitia kwenye huu msala mliwezaje ? Maana unaweza kufanya haraka kufurahisha wazazi alafu ikakuletea shida mbeleni ,ebu tupeane ujanja wanaume wenzangu
 
we jamaa mzembe xan inaonekana, cjui n kwa sababu wa mwisho kuzaliwa...!!! Mpaka unaanza kuambiwa " Au tukutaftie mke" an huo inathibitisha n jins gan uko nyum na hii dunia, mpak wakuambie ivo kwanz n ishara kuw wamekudharau wameshakixhuxha thaman, nna nna wac wac cdhan hata kam una dem wa kuzugia mtaan maaan ungekuw na hata wanakuon una dem bac wacngekwambia wakutaftie, changamka broo ji socialize na wanawake, an mara kum wangekwambia hata umekuw malaya xan oa ubak na mke mmoja kuliko kukwambia wakutftie ktu ambacho kinaonesha hata dem huna
 
we jamaa mzembe xan inaonekana, cjui n kwa sababu wa mwisho kuzaliwa...!!! Mpaka unaanza kuambiwa " Au tukutaftie mke" an huo inathibitisha n jins gan uko nyum na hii dunia, mpak wakuambie ivo kwanz n ishara kuw wamekudharau wameshakixhuxha thaman, nna nna wac wac cdhan hata kam una dem wa kuzugia mtaan maaan ungekuw na hata wanakuon una dem bac wacngekwambia wakutaftie, changamka broo ji socialize na wanawake, an mara kum wangekwambia hata umekuw malaya xan oa ubak na mke mmoja kuliko kukwambia wakutftie ktu ambacho kinaonesha hata dem huna
Hata demu sina mkuu hata mda wa kutongoza sina c unajua vijana waliokulia dini nadhani unaelewa,nikiwa na mda ni mzaoezini na church
 
Wana haki ya kukwambia uoe, na nafikiri ww malez ya din yamekupumpaza, hatukatai kuw uwe mcha Mungu ila kumbuka na maisha ya dunian pia unatakiw uyaishi, utandawaz mwing xaiv hujawez kukopy hata vijana wenzio mzee, mm nna 26 xaiv na mi mwenyew nimelelew kweny din xan maan mzee wang mm n pastor wa kanisa na form one had 4 nimesoma xhule ya kidin ila nilipo fika advance nikaona huu n usenge natakiw niishi kam mazingira yanavyonitak niishi, toka hapo nilianza tafuna pisi nikaw mtandawazi mpak leo cjaoa na nna madem kadhaa kwa hyo hata hawawez niulza naoa lin au wanitaftie
 
Wana haki ya kukwambia uoe, na nafikiri ww malez ya din yamekupumpaza, hatukatai kuw uwe mcha Mungu ila kumbuka na maisha ya dunian pia unatakiw uyaishi, utandawaz mwing xaiv hujawez kukopy hata vijana wenzio mzee, mm nna 26 xaiv na mi mwenyew nimelelew kweny din xan maan mzee wang mm n pastor wa kanisa na form one had 4 nimesoma xhule ya kidin ila nilipo fika advance nikaona huu n usenge natakiw niishi kam mazingira yanavyonitak niishi, toka hapo nilianza tafuna pisi nikaw mtandawazi mpak leo cjaoa na nna madem kadhaa kwa hyo hata hawawez niulza naoa lin au wanitaftie
Hahaaa,ww jamaa ila usiache dini,mi mpaka Sasa hivi naishi peke yangu Ila kumleta mwanamke kwangu naona Kama siyo poa maana ctaki kutumia kitanda changu vibaya,Ila nitaanza kuwadinya nje lkn ndani nataka tu mke wangu ndo awe wa kwanza kulala kitandani kwangu.
 
Hahaaa,ww jamaa ila usiache dini,mi mpaka Sasa hivi naishi peke yangu Ila kumleta mwanamke kwangu naona Kama siyo poa maana ctaki kutumia kitanda changu vibaya,Ila nitaanza kuwadinya nje lkn ndani nataka tu mke wangu ndo awe wa kwanza kulala kitandani kwangu.
Uko xahihi kabisa, unajua kijana ili uishi vzuri ukifikisha miaka 30's ivi inatakiw ukosee san ukiw na miak 18's had 25's maan lazma kun vtu utajifunza, sasa kam ww una 28 na hujawah kuw na dem wala hujawah hata kutongoza kisa malezi ya dini, you will be in a wrong way broo...maan hakunaga stage ya ukuwaji inayorukwa maishan ndo maan kisayanz wanakwambia ucpokuw malaya ujanani bac hyo tabia utakuw nayo ukiw mtu mzma xan maan uliiruka na huko ukubwa itakupa aibu zaid kwa hiyo kwa sasa ucjutie kufanya makosa maan n wakat sahihi kabisa wa kufanya ivo na kuna age ikifka automatically tu utaanz kuach na kuish kam mtu mzma
 
Wana haki ya kukwambia uoe, na nafikiri ww malez ya din yamekupumpaza, hatukatai kuw uwe mcha Mungu ila kumbuka na maisha ya dunian pia unatakiw uyaishi, utandawaz mwing xaiv hujawez kukopy hata vijana wenzio mzee, mm nna 26 xaiv na mi mwenyew nimelelew kweny din xan maan mzee wang mm n pastor wa kanisa na form one had 4 nimesoma xhule ya kidin ila nilipo fika advance nikaona huu n usenge natakiw niishi kam mazingira yanavyonitak niishi, toka hapo nilianza tafuna pisi nikaw mtandawazi mpak leo cjaoa na nna madem kadhaa kwa hyo hata hawawez niulza naoa lin au wanitaftie
Hiyo ndio inatakiwa.
 
Fuata moyo wako unahitaji kipi?, na kwa wakati upi?, ili iweje?, maisha ni yako binafsi, na utambue kuna maamuzi unatakiwa usimame wee km wee,.

Huo ushauri au kero zinazokuja kutoka kwa hao watu wa karibu, jaribu kutafakari kwa kina na yakinifu ili uweze kutoa hitimisho jema kwa faida yako.

Kumbuka huyo mke utakae muoa hataish na hao ndugu zako, utaish nae wee mwenyewe, wao watataka matokeo ya kuishi nae huyo (watoto), ambapo wew na mwenzio mkiwa lenu 1 ktk malezi thabiti.

Ni heri ukosee kujenga nyumba utabomoa, ila sio kuoa au kuolewa. Mateso huwa n ya milele.
Akili kichwani kwako, Jah awe nawe ktk hilo.
 
Fuata moyo wako unahitaji kipi?, na kwa wakati upi?, ili iweje?, maisha ni yako binafsi, na utambue kuna maamuzi unatakiwa usimame wee km wee,.

Huo ushauri au kero zinazokuja kutoka kwa hao watu wa karibu, jaribu kutafakari kwa kina na yakinifu ili uweze kutoa hitimisho jema kwa faida yako.

Kumbuka huyo mke utakae muoa hataish na hao ndugu zako, utaish nae wee mwenyewe, wao watataka matokeo ya kuishi nae huyo (watoto), ambapo wew na mwenzio mkiwa lenu 1 ktk malezi thabiti.

Ni heri ukosee kujenga nyumba utabomoa, ila sio kuoa au kuolewa. Mateso huwa n ya milele.
Akili kichwani kwako, Jah awe nawe ktk hilo.
Thanks
 
Back
Top Bottom