Huu niugonjwa gani wakuu naomben mnijuze

Inawezekana ni FMD.
So huduma ya kwanza andaa maji ya vuguvugu na chumvi osha sehemu zilizo athirika halafu pakaa chumvi .since it is viral disease muone veterinarian aliye jiran atamchoma pen-strep /penicillin kuzuia secondary infaction.
Kuzuia
Tenga myama aliye athirika maji na chakula sehem yake , safisha dumisha usafi katika banda, epuka contamination. Mengine atakushauri


Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu nimejalibu kumuuluza doctor kanambia hiyo ni orf disease na cyo FMD coz FMD inaaffect mpaka kwato alafu pia vidonda vinatokea ndani ya mdomo mpaka kwenye ulimi ikiwa niyamda mrefu mpaka ulimi unatoka, cyo mbaya lakn nashkuru kwa ushaur wenu.

Kwafaida tu yataifa nikua orf disease inatibika na dawa ya PPF alafu unasugua hvyo vidonda kwa maji ya uvuguvugu yaliyo changanywa na chumvi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana mkuu nimejalibu kumuuluza doctor kanambia hiyo ni orf disease na cyo FMD coz FMD inaaffect mpaka kwato alafu pia vidonda vinatokea ndani ya mdomo mpaka kwenye ulimi ikiwa niyamda mrefu mpaka ulimi unatoka, cyo mbaya lakn nashkuru kwa ushaur wenu. Kwafaida tu yataifa nikua orf disease inatibika na dawa ya PPF alafu unasugua hvyo vidonda kwa maji ya uvuguvugu yaliyo changanywa na chumvi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana mkuu nimejalibu kumuuluza doctor kanambia hiyo ni orf disease na cyo FMD coz FMD inaaffect mpaka kwato alafu pia vidonda vinatokea ndani ya mdomo mpaka kwenye ulimi ikiwa niyamda mrefu mpaka ulimi unatoka, cyo mbaya lakn nashkuru kwa ushaur wenu. Kwafaida tu yataifa nikua orf disease inatibika na dawa ya PPF alafu unasugua hvyo vidonda kwa maji ya uvuguvugu yaliyo changanywa na chumvi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu nimejalibu kumuuluza doctor kanambia hiyo ni orf disease na cyo FMD coz FMD inaaffect mpaka kwato alafu pia vidonda vinatokea ndani ya mdomo mpaka kwenye ulimi ikiwa niyamda mrefu mpaka ulimi unatoka, cyo mbaya lakn nashkuru kwa ushaur wenu. Kwafaida tu yataifa nikua orf disease inatibika na dawa ya PPF alafu unasugua hvyo vidonda kwa maji ya uvuguvugu yaliyo changanywa na chumvi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ugonjwa huo umaitwa "Orf " au "Contagious Pustular Dermatitis". Umasababishwa na aina fulani ya virus. Ugonjwa huu hautibiki lakini kwa kawaida huisha wenyewe baada ya wiki 4-6. Hatua za kuchukua unapotokea ni: Kuwatenga wanyama walioathirika ili wasiambukize wale wazima.

Halafu wanyama pia hupata maambukizi ya bacteria kutokana na vidonda vinavyotokea kwa hiyo wanaweza kupewa antibiotic kudhibiti hayo maambukizi na kumpunguzia maumivu mnyama.

Kuna chanjo ya kuzuia ugonjwa huu kwa mbuzi wazima..Lakini hiiyo chanjo haipatikani kwa urahisi maana ugonjwa huu ni nadra kurokea na pia hupona wenyewe.
 
Mbuzi wangu wameanza kutokwa na vitu kama madonda hvi mdomoni sasa nashindwa kuelewa niugonjwa gani naunaweza kutibika vipi mnisaidie jaman picha hii hapa
4ec9adf3ea5acb5b5699987bc2858292.jpg
45f0e36ba1889ffb545c95e6cf5705b4.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app

Sorry mkuu unawafugia mkoa/wilaya/kijiji gani??
 
Ni kweli ugonjwa huo umaitwa "Orf " au "Contagious Pustular Dermatitis". Umasababishwa na aina fulani ya virus. Ugonjwa huu hautibiki lakini kwa kawaida huisha wenyewe baada ya wiki 4-6. Hatua za kuchukua unapotokea ni: Kuwatenga wanyama walioathirika ili wasiambukize wale wazima.
Halafu wanyama pia hupata maambukizi ya bacteria kutokana na vidonda vinavyotokea kwa hiyo wanaweza kupewa antibiotic kudhibiti hayo maambukizi na kumpunguzia maumivu mnyama.
Kuna chanjo ya kuzuia ugonjwa huu kwa mbuzi wazima..Lakini hiiyo chanjo haipatikani kwa urahisi maana ugonjwa huu ni nadra kurokea na pia hupona wenyewe.
sawa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom