Huu niliofanyiwa sio utapeli?

Huu niliofanyiwa sio utapeli?

Watu kama nyie zamani tulikua tunawaita BWEGE MTOZENI siku hizi sijui mnaitwaje?
 
Change code!!! piga anza zako shuguli hakuna apo afuuu madem wa hivyooo hawanaga shook kbsaa doooh!!!
 
Wananzengo mbona karibia wote mnamng'akia muanzisha uzi!?[SUP]😀😀😀[/SUP]
 
Wewe ni fualaaaaaaaaa wa 2020.

Na huyoo best yakoo muangalie sana. Atakuwa kama ana mchezo flanii hivii
 
Wewe ni fualaaaaaaaaa wa 2020.

Na huyoo best yakoo muangalie sana. Atakuwa kama ana mchezo flanii hivii
Ndio nimeamini ule msemo wa gwiji kwamba demu wako akiuza wenzie zinduka nae analiwa
 
Back
Top Bottom