bysange JF-Expert Member Joined Jan 11, 2011 Posts 4,456 Reaction score 1,565 Aug 25, 2014 #21 utafiti said: Hahahahaha kaka kwenye mapenzi hiyo pasi inakua yabaridi mbona Click to expand... umenikumbusha mbali..tuliambiwa kofi la mpezi haliumi,sijui kweli
utafiti said: Hahahahaha kaka kwenye mapenzi hiyo pasi inakua yabaridi mbona Click to expand... umenikumbusha mbali..tuliambiwa kofi la mpezi haliumi,sijui kweli
utafiti JF-Expert Member Joined Jul 18, 2013 Posts 12,783 Reaction score 7,671 Aug 25, 2014 #22 bysange said: umenikumbusha mbali..tuliambiwa kofi la mpezi haliumi,sijui kweli Click to expand... Teh teh teh subiri tuwaulize wakurya humu watakua na majibu mazuri
bysange said: umenikumbusha mbali..tuliambiwa kofi la mpezi haliumi,sijui kweli Click to expand... Teh teh teh subiri tuwaulize wakurya humu watakua na majibu mazuri
bysange JF-Expert Member Joined Jan 11, 2011 Posts 4,456 Reaction score 1,565 Aug 25, 2014 #23 kabanga said: kiongozi HARUFU, hata sijui lakini ndio mapenzi nipige pasi.... Click to expand... nina aleji na hiyo mikao kama alivyo kaa huyo dada,nisaidie jina la mkao huyo Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
kabanga said: kiongozi HARUFU, hata sijui lakini ndio mapenzi nipige pasi.... Click to expand... nina aleji na hiyo mikao kama alivyo kaa huyo dada,nisaidie jina la mkao huyo
bysange JF-Expert Member Joined Jan 11, 2011 Posts 4,456 Reaction score 1,565 Aug 25, 2014 #24 utafiti said: Teh teh teh subiri tuwaulize wakurya humu watakua na majibu mazuri Click to expand... Na wale ndugu zetu wa kukaza sauti wanapoongea...
utafiti said: Teh teh teh subiri tuwaulize wakurya humu watakua na majibu mazuri Click to expand... Na wale ndugu zetu wa kukaza sauti wanapoongea...
utafiti JF-Expert Member Joined Jul 18, 2013 Posts 12,783 Reaction score 7,671 Aug 25, 2014 #25 bysange said: Na wale ndugu zetu wa kukaza sauti wanapoongea... Click to expand... Wakukaza sauti ni wepi hao?
bysange said: Na wale ndugu zetu wa kukaza sauti wanapoongea... Click to expand... Wakukaza sauti ni wepi hao?
Miss Neddy JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 14,684 Reaction score 8,754 Aug 25, 2014 #26 utafiti said: Teh teh teh subiri tuwaulize wakurya humu watakua na majibu mazuri Click to expand... cc Excel Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
utafiti said: Teh teh teh subiri tuwaulize wakurya humu watakua na majibu mazuri Click to expand... cc Excel
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 19,303 Reaction score 17,830 Aug 25, 2014 #27 kabanga said: Mnisaidie naamini huu ni zaidi ya ufalla, eti Erickb52 Mr Rocky, Mtambuzi Asprin utafiti, Excel, Tyta.. Mndengereko, mwekundu, kiwatengu Ntuzu Kibo10...... Click to expand... labda mshikaji kaomba.. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
kabanga said: Mnisaidie naamini huu ni zaidi ya ufalla, eti Erickb52 Mr Rocky, Mtambuzi Asprin utafiti, Excel, Tyta.. Mndengereko, mwekundu, kiwatengu Ntuzu Kibo10...... Click to expand... labda mshikaji kaomba..
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Aug 26, 2014 Thread starter #28 Excel said: Bado kuweka na jikoxla mkaa kabisa apikie! Cc. kabanga Click to expand... Apike naugalu kabisaa.... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Excel said: Bado kuweka na jikoxla mkaa kabisa apikie! Cc. kabanga Click to expand... Apike naugalu kabisaa....
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Aug 26, 2014 Thread starter #29 utafiti said: Hahahahaha kaka kwenye mapenzi hiyo pasi inakua yabaridi mbona Click to expand... Eti baridi, kaka hakuna kitu kama afanyacho jamaa....
utafiti said: Hahahahaha kaka kwenye mapenzi hiyo pasi inakua yabaridi mbona Click to expand... Eti baridi, kaka hakuna kitu kama afanyacho jamaa....
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Aug 26, 2014 Thread starter #30 miss neddy said: haungui hapo????? Click to expand... Haungui, siwamuona alivyopitiwa na usingizi....?
miss neddy said: haungui hapo????? Click to expand... Haungui, siwamuona alivyopitiwa na usingizi....?
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Aug 26, 2014 Thread starter #31 watu8 said: Mkuu hapo jamaa anafanyiwa tiba ya kupunguza kitambi, mafuta yanayeyushwa kwa moto wa pasi... Click to expand... Kama hiyo nayo ni dawa ya kupunguza kitambi bhaasi, nitaanza kufanya watu8.... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
watu8 said: Mkuu hapo jamaa anafanyiwa tiba ya kupunguza kitambi, mafuta yanayeyushwa kwa moto wa pasi... Click to expand... Kama hiyo nayo ni dawa ya kupunguza kitambi bhaasi, nitaanza kufanya watu8....
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Aug 26, 2014 Thread starter #32 bysange said: yaani we acha tu mkuu hili lijamaaa sijui limepewa dawa za mahaba toka mkoa aua nchi gani khaaaaaaaaaaa! Click to expand... Limekuwa dubwasha tu.....
bysange said: yaani we acha tu mkuu hili lijamaaa sijui limepewa dawa za mahaba toka mkoa aua nchi gani khaaaaaaaaaaa! Click to expand... Limekuwa dubwasha tu.....
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Aug 26, 2014 Thread starter #33 kiwatengu said: labda mshikaji kaomba.. Click to expand... Kaomba kufanyiwa hivyo.....?
KikulachoChako JF-Expert Member Joined Jul 21, 2013 Posts 19,769 Reaction score 39,536 Aug 26, 2014 #34 Duh!!...kweli mbunye ina abudiwa..aiseee...
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,921 Aug 26, 2014 #35 Ukute hapo hiyo pasi ina speed 5 ila anahisi kama amewekewa barafu ndo kupenda huko yakheee
KikulachoChako JF-Expert Member Joined Jul 21, 2013 Posts 19,769 Reaction score 39,536 Aug 26, 2014 #36 Kidemu chenyewe kibayaaaaaaaa.....ptuuuuuu.....
wilson werema Member Joined Oct 25, 2013 Posts 8 Reaction score 2 Aug 26, 2014 #37 Yote yanawezekana kupitia Mungu isipokuwa jeshi la shetani linatusumbua
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,921 Aug 26, 2014 #38 KikulachoChako said: Kidemu chenyewe kibayaaaaaaaa.....ptuuuuuu..... Click to expand... Hahahahahaha umenchekesha kapenda icho kikaptula
KikulachoChako said: Kidemu chenyewe kibayaaaaaaaa.....ptuuuuuu..... Click to expand... Hahahahahaha umenchekesha kapenda icho kikaptula
wilson werema Member Joined Oct 25, 2013 Posts 8 Reaction score 2 Aug 26, 2014 #39 Mungu anajitahidi kuongoza watu wake kudumisha upendo wakweli nashetani anijahidi kutengeneza viwanda vya kuwamaliza ,cheki kaka hata hiyo pasi bado imetoka ktk kiwanda cha shetani.
Mungu anajitahidi kuongoza watu wake kudumisha upendo wakweli nashetani anijahidi kutengeneza viwanda vya kuwamaliza ,cheki kaka hata hiyo pasi bado imetoka ktk kiwanda cha shetani.
mwekundu JF-Expert Member Joined Mar 4, 2013 Posts 22,477 Reaction score 21,025 Aug 26, 2014 #40 haya yanaitwa mahaba niharibu niunguze niteketee