MTOTO YATIMA
Senior Member
- Jul 1, 2012
- 147
- 58
Mungu atuponye kwa hili
kama ni gay, then hiyo ndoa si ya ukweli alifunga tuu ili kutimiza wajibu. hio kitu haikuanzia siku ya kipaimara. its not a matter of men>women ni kwamba hana mapenzi kwa mkewe. if angekuwa na mwanamke kungekuwa na hope, otherwise ni kujidanganya tuu. ukiona mumeo ana m/me mwingine jua kwamba wewe uliolewa kupamba nyumba tuu huna tofauti na makochi au kapetiBlaine to me nilichokisema unless huyu bwana juma aamue kubadilika kiukweli wala sio kinafki anaweza kuendelea na mkewe ila kama anaona hao mashoga ni wazuri so hawez kuacha hii tabia basi mkewe aondoke na hapa nke ndo amuulize swali hili mumewe
Angalau hadisi ya Mbu inaeleweka. ila ya huyu kumpeleka shoga nyumbani 'ake tena akijua n'kewe atarudi wakati wowote.... hapana asee...
Na hayo mashuka yalichafuliwa na mav.i siyo? Kwahiyo jamaa alijua n'kewe akifua nnya ya shoga hatastuka au na mashuka angefua usiku kabla n'kewe hajarudi?
Angalau hadisi ya Mbu inaeleweka. ila ya huyu kumpeleka shoga nyumbani 'ake tena akijua n'kewe atarudi wakati wowote.... hapana asee...
Na hayo mashuka yalichafuliwa na mav.i siyo? Kwahiyo jamaa alijua n'kewe akifua nnya ya shoga hatastuka au na mashuka angefua usiku kabla n'kewe hajarudi?
usiwe kama tumbo la kuharisha enh! dawa yako wewe ipo utanikomaje mwaka huu?????????
Popote ulipo MwanajamiiOne huyu mdada unayemwita mvumilivu alishindwaje kuvumilia hata akamsimulia "msiri" wake gfsonwin ambaye naye kaja kumwaga siri humu jamvini pasi kujua labda shosti ake au mmewe ni member humu?..... STUKA!
Umwone mmeo anamkamerun mtu ukimbilie kwa jirani kuomba maji? Over My Dead Body!!
Yuko wapi cacico aje amshuhudie msiri wake anavyomwaga siri za hadisi ya shoga ake hapa lol
Ngoja nirudi machimboni mie.
Au hata angemuinamisha kichakani chap chap hahahahha aisee shetani mbaya akiamua kukuumbua akili yote inayeyuka Babu yangu.
sasa nimeamini kwamba ni kweli kabisa mkuu EMTWengine tukisema hapa tuache unafiki, ushoga umejikita Tanzania tunapigiwa mayowe!
Boflo upo? Yale yale: https://www.jamiiforums.com/mahusia...izizi-katika-jamii-yetu-tuache-unafiki-2.html
Aisee.... na kweli asee. walisema dalili za mvua ni....
Wakulu lolote litakalonitokea kuna ushahidi hapa. Naomba muutoe kwa wahusika. Kama kuna mtu ana namba ya Kamanda Kamuhanda naomba apeane na mimi.
Baada ya kusema hayo napenda kukufahamisheni kuwa aliyekuwa anakameruniwa ni mme wa shosti ake gfsonwin vinginevyo pasingetosha. Wanawake wana wivu wa kushea storongo na si vinginevyo!
Au hata angemuinamisha kichakani chap chap hahahahha aisee shetani mbaya akiamua kukuumbua akili yote inayeyuka Babu yangu.
Inawezekana fijo kumbeba loboti na kwenda kumkamulia nyumbani kwenye kitanda cha mke wake kweli?
MwanajamiiOne na Blaine, hivi kua ma gay wakuzaliwa? je utamjuaje huyu? na je si kwamba wote wanajifunza tu kwenye mazingira?
Au hata angemuinamisha kichakani chap chap hahahahha aisee shetani mbaya akiamua kukuumbua akili yote inayeyuka Babu yangu.
mpaka u-do na m/me mwenzako means umemtamani, which requires gay feelings na kama ni hivyo then m/mke hana nafasi. wanaoanza 'kujifunza ukubwani' had the feelings tangu zamani lakini hawakufanya kitu either uwoga au hali haikuruhusu.Blaine ningependa kuuelewa zaidi mtazamo wako. Ina maana mtu kufanya hayo ni lazima awe gay tangu kuzaliwa? au anawezajikuta anajifunza kuwa gay ukubwani?