....LoL, Aspirin....zama hizi za 'uwazi' haijalishi tendo linafanyikia wapi kaka...Kuna kesi ya ukweli, na watu ninaowajua mwaka wa nne sasa...
mke aliulizwa, akienda kazini... mumewe(jobless) anafundisha tuition? Huyo mke japo alikuwa anakuta "stained" sheets, mume alikuwa anajitetea mchana akizidiwa alikuwa anapanda mnazi....
... 'siku ya 40' mke alipatwa dharura akarudi nyumbani mapema, akukuta mumewe "anachumishwa" -mboga- na kamvulana ka shule.
hapo red ulijulia wapi? na wanafanyia wapi na kwenye nini?
MwanajamiiOne na Blaine, hivi kua ma gay wakuzaliwa? je utamjuaje huyu? na je si kwamba wote wanajifunza tu kwenye mazingira?
Ova mai dedi bodi....
Mwanaume anaweza fanya kosa la kumpeleka mwanamke chumbani ake pale anapojua mkewe kasafiri. Lakini eti apeleke senge nyumbani wakati wife ako next street? Ngumu kumesa asee...
BTW hii "fijo" na "loboti" machale kundesa!!
:A S tongue::A S tongue: mwisho wa ubaya, aibu Mungu aninusuru mie na kizazi changu chote.
yaani sipati picha kama angekuwa ni mkewe kaleta mwanamke mwingine wanafanya haya ingekuwaje.
Duniani kuna mitihani ya ajabu sana ..
Mwanamke ana roho ngumu sina hakika kama ningeendelea kukaa
Maana kila ningekuwa nikidoo na muzee akili inagoma kabisa .
Mpe pole sana mhusika kwa hili tukio lenye simanzi tele
mpaka u-do na m/me mwenzako means umemtamani, which requires gay feelings na kama ni hivyo then m/mke hana nafasi. wanaoanza 'kujifunza ukubwani' had the feelings tangu zamani lakini hawakufanya kitu either uwoga au hali haikuruhusu.
go and read it careful why lie?