Hii hadithi. Mana katika maelezo yote umeonyesha possibility zote za mke kufika home. Tena karibu. Na pia kama mme anajua mchezo huo lazima utoke na mavi angewezaje kumpeleka kwake. It's very illogical hasa ulipoandika eti jamaa kashtuka sijafanya lolote. Labd kama unataka kusema kuwa mwanamume alikuwa amempenda Hivi huyo Shida mpaka akili yake ikawa zero
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.