Kuna jamaa angu amekuja na kulalamika kwangu nimshauri nkaona nivyema nililete hapa kwa wataalam wa hizi mambo.
Jamaa ana dem wake na wako kwa mahusiano takribani miaka 8, jamaa kashalipa mahari na sasa ni vikao vya harusi vyaendelea.
Tatizo ni kuwa dem ana wivu balaa au sijui niuiteje. Anachukua sim ya mshkaji na anakagua no zote na akikuta no yyte ambayo atahisi labda ni ya mwanamke huichukua au kuanza kuchat nae ili tu aone majibu ya upande wa pili ndo ajiridhishe.
Amesha mgombanisha jamaa na wafanyakazi wenzake wakike watatu ambao kiukweli jamaa wala hakua na mahusiano nao.
Amejaribu kukaa nae chini akinishirikisha na mm tumemshauri huyu shem wangu apunguze kujihami wapi anasema huyu ni mume wake hivyo ni lazma amlinde sa ndo ulinzi gani huu unaboa.
Ikiingia sms kwenye cm ya man wake ye ndo wakwanza kwenda kuisoma, pia kwenye watsup ya jamaa kila tym anakagua mpaka cm zilizoingia na kutoka. Jamaa amechoka coz kuna time binti aliona no ngeni kwenye cm ya jamaa akachukua no na kuanza kumtext wakagombana sn mpaka sa iz wadada kibao wala hawansalimii mshkaji wangu huyu. Hebu nambieni wadau huu ni wivu wa kawaida au vp manake jamaa anamashaka kuwa akimuweka ndani si ndo hata kazini hatoenda sasa. This is a very true case so mawazo yenu ni muhimu sn kwa ambao mmeshawahi ishi na wanawake wa namna hii coz dem kasoma ana degree na mambo yake safi pia jamaa nae kiuchumi yuko safi
Jamaa ana dem wake na wako kwa mahusiano takribani miaka 8, jamaa kashalipa mahari na sasa ni vikao vya harusi vyaendelea.
Tatizo ni kuwa dem ana wivu balaa au sijui niuiteje. Anachukua sim ya mshkaji na anakagua no zote na akikuta no yyte ambayo atahisi labda ni ya mwanamke huichukua au kuanza kuchat nae ili tu aone majibu ya upande wa pili ndo ajiridhishe.
Amesha mgombanisha jamaa na wafanyakazi wenzake wakike watatu ambao kiukweli jamaa wala hakua na mahusiano nao.
Amejaribu kukaa nae chini akinishirikisha na mm tumemshauri huyu shem wangu apunguze kujihami wapi anasema huyu ni mume wake hivyo ni lazma amlinde sa ndo ulinzi gani huu unaboa.
Ikiingia sms kwenye cm ya man wake ye ndo wakwanza kwenda kuisoma, pia kwenye watsup ya jamaa kila tym anakagua mpaka cm zilizoingia na kutoka. Jamaa amechoka coz kuna time binti aliona no ngeni kwenye cm ya jamaa akachukua no na kuanza kumtext wakagombana sn mpaka sa iz wadada kibao wala hawansalimii mshkaji wangu huyu. Hebu nambieni wadau huu ni wivu wa kawaida au vp manake jamaa anamashaka kuwa akimuweka ndani si ndo hata kazini hatoenda sasa. This is a very true case so mawazo yenu ni muhimu sn kwa ambao mmeshawahi ishi na wanawake wa namna hii coz dem kasoma ana degree na mambo yake safi pia jamaa nae kiuchumi yuko safi