Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,602
- 9,368
Mlisema haya maneno kuhusu Mungu wenu mnayemuabudu leo yupo futi sita anaoza. JF ipo tutarudia maneno yenuWaganga njaa hawatishii lolote,, kuitoa CCM bado sana labda miaka 100 ijayo
Mlisema haya maneno kuhusu Mungu wenu mnayemuabudu leo yupo futi sita anaoza. JF ipo tutarudia maneno yenuWaganga njaa hawatishii lolote,, kuitoa CCM bado sana labda miaka 100 ijayo
Upinzani kwenye serikali yoyote ile ni lazima uwepo ili kuharakisha Maendeleo, achana na yale maneno eti upinzani ulituchelewesha.
Miaka yote CCM wanatawala wao ila hakuna jipya zaidi ya kutubadilishia tu nyimbo.
Alianza JK na Kasi mpya, ari mpya ila mwisho wa siku hakuna lolote lile, ni umasikini mwanzo mwisho kwa watanzania.
Akaja Magufuli na kauli mbiu yake ya Tanzania ya viwanda ila nao hakuna lolote lile zaidi ya porojo tu.
Sasa hivi tupo na mama, yeye anakuambia kazi iendelee. Iendelee wapi? Maneno laini, matamu ila hakuna lolote lile ni yaleyale tu.
Ni wakati muafaka sasa wa CCM kukaa pembeni ,mpishe na wengine. CCM hamjazaliwa kutawala nyie tu Tanzania.
Kwani mkiachia upinzani nao tukapata hata miaka mitano shida ipo wapi? Hapa nazungumzia upinzani Chadema na sio wale wengine wasaka tonge na uteuzi. Chama Cha upinzani makini nchi hii ni chadema tu. Huo ndio ukweli.
Nawaomba wale wote ambao tunasupport upinzani kwa hali na mali tuungane na tushikamane zaidi kuangusha hawa CCM. Hii kazi sio rahisi ila Mimi ninaona ni muda muafaka na adhimu kuwaangusha sasa, tusichoke, tusikate tamaa, wataanguka tu inahitajika nguvu kidogo sana.
Tusitarajie lolote chini ya CCM hii na yoyote itayokuja.
Hebu fikiria chama kimejaza watu wanaowaza uteuzi tu, alafu ndio hawa wanataka kuendelea kutawala. HAPANA
CCM juenj kuwa siku zenu si nyingi mtaanguka.
Mlisema haya maneno kuhusu Mungu wenu mnayemuabudu leo yupo futi sita anaoza. JF ipo tutarudia maneno yenu
Hizi teuzi zinadhihirisha kuwa ccm haina dira, vyeo vinatolewa kama asante,Upinzani kwenye serikali yoyote ile ni lazima uwepo ili kuharakisha Maendeleo, achana na yale maneno eti upinzani ulituchelewesha.
Miaka yote CCM wanatawala wao ila hakuna jipya zaidi ya kutubadilishia tu nyimbo.
Alianza JK na Kasi mpya, ari mpya ila mwisho wa siku hakuna lolote lile, ni umasikini mwanzo mwisho kwa watanzania.
Akaja Magufuli na kauli mbiu yake ya Tanzania ya viwanda ila nao hakuna lolote lile zaidi ya porojo tu.
Sasa hivi tupo na mama, yeye anakuambia kazi iendelee. Iendelee wapi? Maneno laini, matamu ila hakuna lolote lile ni yaleyale tu.
Ni wakati muafaka sasa wa CCM kukaa pembeni ,mpishe na wengine. CCM hamjazaliwa kutawala nyie tu Tanzania.
Kwani mkiachia upinzani nao tukapata hata miaka mitano shida ipo wapi? Hapa nazungumzia upinzani Chadema na sio wale wengine wasaka tonge na uteuzi. Chama Cha upinzani makini nchi hii ni chadema tu. Huo ndio ukweli.
Nawaomba wale wote ambao tunasupport upinzani kwa hali na mali tuungane na tushikamane zaidi kuangusha hawa CCM. Hii kazi sio rahisi ila Mimi ninaona ni muda muafaka na adhimu kuwaangusha sasa, tusichoke, tusikate tamaa, wataanguka tu inahitajika nguvu kidogo sana.
Tusitarajie lolote chini ya CCM hii na yoyote itayokuja.
Hebu fikiria chama kimejaza watu wanaowaza uteuzi tu, alafu ndio hawa wanataka kuendelea kutawala. HAPANA
CCM juenj kuwa siku zenu si nyingi mtaanguka.
Tofauti kubwa ni kwamba mie naamini kwenye kifo Ila yeye aliamini hatakufa ndio maana alifika sehemu ukiacha kujiita jiwe akaitwa Mungu, Yesu na mpaka akaaminisha akina nyie kwamba yeye ni zaidi ya Yesu na malaika.tafauti ya yeye na wewe ni ndogo sana! kinachokutengenisha yeye na wewe ni kitu kinaitwa mda lakini na wewe utaingia site kuoza vizuri tu wala haina mjadala
Upinzani huu huu wa kuunga mkono juhudi au mwingine mkuu. Cc: Nasari, Kafulia, Lijua-kali, Silinde, Nyalandu, suma-yeeh etc, Mdee na Covid 19 bungenUpinzani kwenye serikali yoyote ile ni lazima uwepo ili kuharakisha Maendeleo, achana na yale maneno eti upinzani ulituchelewesha.
Miaka yote CCM wanatawala wao ila hakuna jipya zaidi ya kutubadilishia tu nyimbo.
Alianza JK na Kasi mpya, ari mpya ila mwisho wa siku hakuna lolote lile, ni umasikini mwanzo mwisho kwa watanzania.
Akaja Magufuli na kauli mbiu yake ya Tanzania ya viwanda ila nao hakuna lolote lile zaidi ya porojo tu.
Sasa hivi tupo na mama, yeye anakuambia kazi iendelee. Iendelee wapi? Maneno laini, matamu ila hakuna lolote lile ni yaleyale tu.
Ni wakati muafaka sasa wa CCM kukaa pembeni ,mpishe na wengine. CCM hamjazaliwa kutawala nyie tu Tanzania.
Kwani mkiachia upinzani nao tukapata hata miaka mitano shida ipo wapi? Hapa nazungumzia upinzani Chadema na sio wale wengine wasaka tonge na uteuzi. Chama Cha upinzani makini nchi hii ni chadema tu. Huo ndio ukweli.
Nawaomba wale wote ambao tunasupport upinzani kwa hali na mali tuungane na tushikamane zaidi kuangusha hawa CCM. Hii kazi sio rahisi ila Mimi ninaona ni muda muafaka na adhimu kuwaangusha sasa, tusichoke, tusikate tamaa, wataanguka tu inahitajika nguvu kidogo sana.
Tusitarajie lolote chini ya CCM hii na yoyote itayokuja.
Hebu fikiria chama kimejaza watu wanaowaza uteuzi tu, alafu ndio hawa wanataka kuendelea kutawala. HAPANA
CCM juenj kuwa siku zenu si nyingi mtaanguka.
ndoto za mchana...Upinzani kwenye serikali yoyote ile ni lazima uwepo ili kuharakisha Maendeleo, achana na yale maneno eti upinzani ulituchelewesha.
Miaka yote CCM wanatawala wao ila hakuna jipya zaidi ya kutubadilishia tu nyimbo.
Alianza JK na Kasi mpya, ari mpya ila mwisho wa siku hakuna lolote lile, ni umasikini mwanzo mwisho kwa watanzania.
Akaja Magufuli na kauli mbiu yake ya Tanzania ya viwanda ila nao hakuna lolote lile zaidi ya porojo tu.
Sasa hivi tupo na mama, yeye anakuambia kazi iendelee. Iendelee wapi? Maneno laini, matamu ila hakuna lolote lile ni yaleyale tu.
Ni wakati muafaka sasa wa CCM kukaa pembeni ,mpishe na wengine. CCM hamjazaliwa kutawala nyie tu Tanzania.
Kwani mkiachia upinzani nao tukapata hata miaka mitano shida ipo wapi? Hapa nazungumzia upinzani Chadema na sio wale wengine wasaka tonge na uteuzi. Chama Cha upinzani makini nchi hii ni chadema tu. Huo ndio ukweli.
Nawaomba wale wote ambao tunasupport upinzani kwa hali na mali tuungane na tushikamane zaidi kuangusha hawa CCM. Hii kazi sio rahisi ila Mimi ninaona ni muda muafaka na adhimu kuwaangusha sasa, tusichoke, tusikate tamaa, wataanguka tu inahitajika nguvu kidogo sana.
Tusitarajie lolote chini ya CCM hii na yoyote itayokuja.
Hebu fikiria chama kimejaza watu wanaowaza uteuzi tu, alafu ndio hawa wanataka kuendelea kutawala. HAPANA
CCM juenj kuwa siku zenu si nyingi mtaanguka.
Tofauti kubwa ni kwamba mie naamini kwenye kifo Ila yeye aliamini hatakufa ndio maana alifika sehemu ukiacha kujiita jiwe akaitwa Mungu, Yesu na mpaka akaaminisha akina nyie kwamba yeye ni zaidi ya Yesu na malaika.
Tofauti yangu mie sina kiburi cha ubinadamu Wala kupenda madaraka kiasi Cha kutaka kutawala bila ukomo.
Tofauti yangu naamini kwenye haki ya kuishi, Uhuru wa kutoa mawazo naamini kila binadamu wote ni sawa mbele ya Sheria.
Mwenzetu aliyeitwa Mungu na akawa anafurahia alijiona ni Mungu kweli hatakufa na akafa muda ambao hakutegemea.
Kuna kufa na kuna kutangulia kufa na kuna kufa ukiwa mtu wa kawaida na kuna kufa ukiwa mtu mkubwa sana haya yote ni matukio ya kifo Ila Yana tofauti kubwa.Kwanza hakuna sehem alishawahi kusema hatakufa and infact alikua mstari wa mbele sana kutukumbusha kwamba tutakufa hilo halina ubishi,
cha pili, hauna kiburi, sawa! haupendi madaraka , sawa! haki ya kuishi ,sawa ! yote haya ukiyajumlisha bado wewe ni mfu mtarajiwa na unapasua kuyaweka kichwan!
Kuna kufa na kuna kutangulia kufa na kuna kufa ukiwa mtu wa kawaida na kuna kufa ukiwa mtu mkubwa sana haya yote ni matukio ya kifo Ila Yana tofauti kubwa.
Mtu anakufa akiwa na ulinzi, hospital zote zinamtetemekea, anaishi kwa starehe nna Ile na linakufantu hiyo ni laana.
Laanakum
Wewe ndo utakufa na hakuna atakaye kukumbuka kwa chochote juha wewe!Tofauti kubwa ni kwamba mie naamini kwenye kifo Ila yeye aliamini hatakufa ndio maana alifika sehemu ukiacha kujiita jiwe akaitwa Mungu, Yesu na mpaka akaaminisha akina nyie kwamba yeye ni zaidi ya Yesu na malaika.
Tofauti yangu mie sina kiburi cha ubinadamu Wala kupenda madaraka kiasi Cha kutaka kutawala bila ukomo.
Tofauti yangu naamini kwenye haki ya kuishi, Uhuru wa kutoa mawazo naamini kila binadamu wote ni sawa mbele ya Sheria.
Mwenzetu aliyeitwa Mungu na akawa anafurahia alijiona ni Mungu kweli hatakufa na akafa muda ambao hakutegemea.
CCM imechoka na imechokwa, lakini ukweli mchungu bado hamna upinzani imara wa kuchukua nchi , sijui ni ccm wanapenyeza vibaraka wao sijui ni watu tu na tamaa zao za madaraka...
Wengi walio upinzani ndio dizaini za kina mdee na wengineo, safari bado ni ndefu.
Hayuko ovyo ni kweli, ila kitendo cha kukengeuka hakina uhalali kwa namna yeyote ileMkuu, be fair to Mdee. Hayuko ovyo kivile. Naamini kuna nguvu nyeti sana changanya na ya dola iliyotumika kumshawishi akengeuke.
Si ajabu hivi sasa hata yeye haamini kilichotokea.
tz hakuna upinzani kuna malimbukeni tu hivi unaweza kumuita mbowe ni mpinzani kweli au msanii tu mttu anawadanganya wenzie hawataki kina halima mdee kumbe yuko nao bega kwabegaUpinzani kwenye serikali yoyote ile ni lazima uwepo ili kuharakisha Maendeleo, achana na yale maneno eti upinzani ulituchelewesha.
Miaka yote CCM wanatawala wao ila hakuna jipya zaidi ya kutubadilishia tu nyimbo.
Alianza JK na Kasi mpya, ari mpya ila mwisho wa siku hakuna lolote lile, ni umasikini mwanzo mwisho kwa watanzania.
Akaja Magufuli na kauli mbiu yake ya Tanzania ya viwanda ila nao hakuna lolote lile zaidi ya porojo tu.
Sasa hivi tupo na mama, yeye anakuambia kazi iendelee. Iendelee wapi? Maneno laini, matamu ila hakuna lolote lile ni yaleyale tu.
Ni wakati muafaka sasa wa CCM kukaa pembeni ,mpishe na wengine. CCM hamjazaliwa kutawala nyie tu Tanzania.
Kwani mkiachia upinzani nao tukapata hata miaka mitano shida ipo wapi? Hapa nazungumzia upinzani Chadema na sio wale wengine wasaka tonge na uteuzi. Chama Cha upinzani makini nchi hii ni chadema tu. Huo ndio ukweli.
Nawaomba wale wote ambao tunasupport upinzani kwa hali na mali tuungane na tushikamane zaidi kuangusha hawa CCM. Hii kazi sio rahisi ila Mimi ninaona ni muda muafaka na adhimu kuwaangusha sasa, tusichoke, tusikate tamaa, wataanguka tu inahitajika nguvu kidogo sana.
Tusitarajie lolote chini ya CCM hii na yoyote itayokuja.
Hebu fikiria chama kimejaza watu wanaowaza uteuzi tu, alafu ndio hawa wanataka kuendelea kutawala. HAPANA CCM juenj kuwa siku zenu si nyingi mtaanguka.