habari za siku wanajamii forum wenzangu,mimi ni mwanamke niliyedumu kwenye ndoa kwa muda wa miaka 9 mpaka sasa,imetokea kuona mesage kwenye simu ya mume wangu zikiwa zimeandikwa kwenda kwa mdada anayefanya nae kazi nyikngi ni za kumjulia hali na kumtakia mchana mwema.ila huwa akishachat na huyo dada huwa anadelete ili hata kwa bahati mbaya nisizione.bahati nzuri siku akasahau nikaziona kama tatu hivi.kumuuliza anasema alikuwa anafanya hivo kunirusha roho, je huu ni ukweli au ni wizi mtupu?tafadhali nifafanulieni?