Huu ni ushahidi kuwa wanasiasa wanaohama hawana athari kwa CHADEMA na wahusika lazima roho ziwaume

Hivi chama kikikubali ku-cohabitate na upinzani, wakafanya siasa safi za ushindani wa kawaida, wakawa marafiki nje ya siasa na kupunguza uhasama, wakaruhusu waseme kadri wanavyopenda, kutakuwa na shida gani kwa mfano. Naona kama huu utaratibu waliochagua una gharama na stress zisizokuwa na sababu.
 
Hivi chama kikikubali ku-cohabitate na upinzani, wakafanya siasa safi za ushindani wa kawaida, wakawa marafiki nje ya siasa na kupunguza uhasama, wakaruhusu waseme kadri wanavyopenda, kutakuwa na shida gani kwa mfano. Naona kama huu utaratibu waliochagua una gharama na stress zisizokuwa na sababu.
Ustaarabu huo isiutegemee kutoka ccm, wao huamini kuwa wanastahili kuliko yeyote asiye wa itikadi yao.
Waangalie akina mnyeti.
 
Hivi chama kikikubali ku-cohabitate na upinzani, wakafanya siasa safi za ushindani wa kawaida, wakawa marafiki nje ya siasa na kupunguza uhasama, wakaruhusu waseme kadri wanavyopenda, kutakuwa na shida gani kwa mfano. Naona kama huu utaratibu waliochagua una gharama na stress zisizokuwa na sababu.

Shida iko kubwa sana. CCM inazikwa hapo hapo. Ngoja wapumulie mashine
 


Hao wangekuwa wapiga kura basi .....
Tatizo hata wasindikizaji nao mnawaita wapiga kura.
Tafutani daftari,andika Majina yao wote...hafu siku ya kura tick mmoja baada ya mwingine, mje mtoe hesabu ya kuibiwa
 
Kweli ccm imekwisha yaani wenye viti wa vitongoji wana lipwa hela ili wakusanye watu wa kwenda kwenye mikutano ya kampeni ? Ina tia huruma ila hakuna namna tunasema ccm bye bye kwa sasa unaumwa 2020 tuta kuzuka upende usipende kwa sababu maradhi unayo umwa hakika hauta pona, r.i.p. ccm.
 
Ustaarabu huo isiutegemee kutoka ccm, wao huamini kuwa wanastahili kuliko yeyote asiye wa itikadi yao.
Waangalie akina mnyeti.
Mimi nasema ustaarabu huo usiutegemee kutoka kwa watu wa bara, siku zote utengamano wa taifa huletwa na ustaarabu wa viongozi wa juu, safari hii imedhihirika kauli ya nyerere baadhi ya watu au makabila flani hawafai kua kichwa cha nchi. Uvumilivu na ustaarabu upole ukarimu, kwa watu wa pwani pekee.
 
Hii ilitakiwa iwe katika page ya SISONJE na yule babu pole


Swissme
 
Hao wangekuwa wapiga kura basi .....
Tatizo hata wasindikizaji nao mnawaita wapiga kura.
Tafutani daftari,andika Majina yao wote...hafu siku ya kura tick mmoja baada ya mwingine, mje mtoe hesabu ya kuibiwa
Wapiga kura ni waandaaji wa bao la mkono.
 
Mimi nasema ustaarabu huo usiutegemee kutoka kwa watu wa bara, siku zote utengamano wa taifa huletwa na ustaarabu wa viongozi wa juu, safari hii imedhihirika kauli ya nyerere baadhi ya watu au makabila flani hawafai kua kichwa cha nchi. Uvumilivu na ustaarabu upole ukarimu, kwa watu wa pwani pekee.
Hivi na Nyerere alikuwa wa pwani?
 
Hivi chama kikikubali ku-cohabitate na upinzani, wakafanya siasa safi za ushindani wa kawaida, wakawa marafiki nje ya siasa na kupunguza uhasama, wakaruhusu waseme kadri wanavyopenda, kutakuwa na shida gani kwa mfano. Naona kama huu utaratibu waliochagua una gharama na stress zisizokuwa na sababu.
Kwa marafiki tulio nao ni jambo ambalo haiwezekani....Uganda na Rwanda wao ndo marafiki zetu...ndo role models wa nchi yetu.....kina Mnyeti ni mafarao wanaweza kusaidia wananchi kuelewa uhalisia Chama cha kijani
 
Hivi chama kikikubali ku-cohabitate na upinzani, wakafanya siasa safi za ushindani wa kawaida, wakawa marafiki nje ya siasa na kupunguza uhasama, wakaruhusu waseme kadri wanavyopenda, kutakuwa na shida gani kwa mfano. Naona kama huu utaratibu waliochagua una gharama na stress zisizokuwa na sababu.

Yaani kwa jinsi ambavyo watanzania tulikuzwa hatukutakiwa kabisa kuwa na SIASA za Chuki,watu wangebishana na mwisho wakakaribishana na chakula,leo Watawala ndiyo waeneza Chuki unategemea watanzania waelewane kweli?Labda siku 'Mungu' akishuka
 
Hao wangekuwa wapiga kura basi .....
Tatizo hata wasindikizaji nao mnawaita wapiga kura.
Tafutani daftari,andika Majina yao wote...hafu siku ya kura tick mmoja baada ya mwingine, mje mtoe hesabu ya kuibiwa
Maneno ya mkosaji hayo!!
 
Yaani kwa jinsi ambavyo watanzania tulikuzwa hatukutakiwa kabisa kuwa na SIASA za Chuki,watu wangebishana na mwisho wakakaribishana na chakula,leo Watawala ndiyo waeneza Chuki unategemea watanzania waelewane kweli?Labda siku 'Mungu' akishuka
Tatizo mafisi bunduki ndiyo midomo yao ya kujibia hoja za wapinzani.
 
Hivi chama kikikubali ku-cohabitate na upinzani, wakafanya siasa safi za ushindani wa kawaida, wakawa marafiki nje ya siasa na kupunguza uhasama, wakaruhusu waseme kadri wanavyopenda, kutakuwa na shida gani kwa mfano. Naona kama huu utaratibu waliochagua una gharama na stress zisizokuwa na sababu.
Matokeo ya hizi siasa za kikaburu zinazofanywa na CCM ni maangamizi huko mbele ya safari. Uzuri tunaweka record ya wale wote wanaotoa kauli za kichochezi huku wakijivika koti la uzalendo.
 
Back
Top Bottom