Huu ni ulimbukeni au ni nini??

Huu ni ulimbukeni au ni nini??

sijui nini

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2010
Posts
2,553
Reaction score
1,292
Unakuta mtu anaendesha gari wakati wa jioni/usiku anapita mjini kwenye magari mangine meeengi, pikipiki, baiskeli na watumiaji wengine wa barabara kibaaoo..tena kuna taa nyingi tu pembezoni na barabara inaonekana vizuri kabisa...lakini unakuta LIJITU LINAPITA NA GARI LIMEWASHA TAA FULL!! afu hata hajali wenzake wanapomtaarifu juu ya hilo...kwa nini uwashe taa FULL mahali ambapo kuna watumiaji wengine wengi wa barabara...kwa nini uwashe taa FULL mjiniiii kabisaaa..mi huwa nakereka sana na hili..yaaani wanaboa sana watu hawa..mtu nakumulika mpaka unankuwa hata mbele huoni kabisa afu yee waalaaaa....hivi ni nini haswa sababu....???
 
Wengi wa dizaini hiyo ni mambugila hawajazoea mambo ya town
 
mnaoendesha magari Dar 99% hamjui sheria za usalama barabarani. Tena na magari yenu haya ya siku hizi ya kuendesha na mguu mmoja ndio kabisa.

Imagine mtu anaona watu wanavuka kwenye zebra yeye anakuja spidi 100 na mihoni kibao. Wakati huo wewe dereva kwenye lane nyingine umeshamwashiria kusimama.
 
Kuna wanaojua kuendesha gari na kuna madereva, hivi ni vitu viwili tofauti. Tafakari.

Nakubaliana na wewe, ukitaka kumjua dereva angalau jinsi anavyoendesha kwa kufuata sheria barabarani na hana papara nyingi za kipumbavu! Siku hizi hakuna madereva, madereva wengi wamezeeka na wa zamani ndo walikuwa madereva haswa!

My take: naona madereva wengi wanaendesha malori na mabasi kwa jinsi nilivyochunguza!
 
Nakubaliana na wewe, ukitaka kumjua dereva angalau jinsi anavyoendesha kwa kufuata sheria barabarani na hana papara nyingi za kipumbavu! Siku hizi hakuna madereva, madereva wengi wamezeeka na wa zamani ndo walikuwa madereva haswa!

My take: naona madereva wengi wanaendesha malori na mabasi kwa jinsi nilivyochunguza!
....kabisaaaa, maana siku hizi unakuta hata mtu akipanda basi likiwa linaendeshwa kistaarabu wanasema dereva mzee..ila akija chizi flani hivi aendeshee kichaa kichaa..barabarani vurugu tupu ndo wanataka..ikitokea ajali wakwanza kulaumiwa dereva tena!!
 
Unakuta mtu anaendesha gari wakati wa jioni/usiku anapita mjini kwenye magari mangine meeengi, pikipiki, baiskeli na watumiaji wengine wa barabara kibaaoo..tena kuna taa nyingi tu pembezoni na barabara inaonekana vizuri kabisa...lakini unakuta LIJITU LINAPITA NA GARI LIMEWASHA TAA FULL!! afu hata hajali wenzake wanapomtaarifu juu ya hilo...kwa nini uwashe taa FULL mahali ambapo kuna watumiaji wengine wengi wa barabara...kwa nini uwashe taa FULL mjiniiii kabisaaa..mi huwa nakereka sana na hili..yaaani wanaboa sana watu hawa..mtu nakumulika mpaka unankuwa hata mbele huoni kabisa afu yee waalaaaa....hivi ni nini haswa sababu....???

Wengi wao wana matatizo ya macho na hawaoni vizuri usiku. Hii imesababisha ajali na vifo kibao. Si vibaya madereva wakashauriwa kupima macho yao.
 
Unakuta mtu anaendesha gari wakati wa jioni/usiku anapita mjini kwenye magari mangine meeengi, pikipiki, baiskeli na watumiaji wengine wa barabara kibaaoo..tena kuna taa nyingi tu pembezoni na barabara inaonekana vizuri kabisa...lakini unakuta LIJITU LINAPITA NA GARI LIMEWASHA TAA FULL!! afu hata hajali wenzake wanapomtaarifu juu ya hilo...kwa nini uwashe taa FULL mahali ambapo kuna watumiaji wengine wengi wa barabara...kwa nini uwashe taa FULL mjiniiii kabisaaa..mi huwa nakereka sana na hili..yaaani wanaboa sana watu hawa..mtu nakumulika mpaka unankuwa hata mbele huoni kabisa afu yee waalaaaa....hivi ni nini haswa sababu....???
Mkuu sijui nini; Ni kweli kuna baadhi ya watu wana tabia hiyo, taa full lights, mwendo anataka kufuta dash board, horn mara kwa mara, mvua inanyesha yeye shingo nje (nadhani ili watu wamuone kuwa yuko anaendesha gar) Ukishaona watu kama hao ujue magari wanayoendesha wameazima, hivyo hawajui kupunguza taa maana siku hizi magari yanajiwasha yenyewe mara giza liingiapo
 
....kabisaaaa, maana siku hizi unakuta hata mtu akipanda basi likiwa linaendeshwa kistaarabu wanasema dereva mzee..ila akija chizi flani hivi aendeshee kichaa kichaa..barabarani vurugu tupu ndo wanataka..ikitokea ajali wakwanza kulaumiwa dereva tena!!

Mfano mzuri mabasi ya Morogoro (yale mekundu kabisa yale) asilimia kubwa madereva wake ni wazee au waliokula chumvi nyingi ndo maana hata ukilala huna wasiwasi na unajua utafika....hao ndo madereva sasa...
 
Mkuu sijui nini; Ni kweli kuna baadhi ya watu wana tabia hiyo, taa full lights, mwendo anataka kufuta dash board, horn mara kwa mara, mvua inanyesha yeye shingo nje (nadhani ili watu wamuone kuwa yuko anaendesha gar) Ukishaona watu kama hao ujue magari wanayoendesha wameazima, hivyo hawajui kupunguza taa maana siku hizi magari yanajiwasha yenyewe mara giza liingiapo
..na wengine magari ya mikopo...mtu kapata kamkopo kidogo badala kufanya biashara ya maana anakimbilia kununua gari, leseni ya kununua..sheria hajui matokeao yake anaharibu gari sikumbili na wenye mkopo wanakuja kuchukua gari na vitu vyako vya ndani kama si nyumba nzima kwa kushindwa kulipa deni...

kuna jamaa mmoja nakumbuka kwenye kile kipindi cha TV cha usalama barabarani (ni tbc i think) aliulizwa na Traffic Police..kile kibao kinamaanisha nini??(akionyeshwa kibao cha zebra)...Mungu wangu..!!!alichojibu!!! laah!! eti nimesahau kidogo..mara sababu kibao...huyu nae ni dereva kabisa!!
 
Mfano mzuri mabasi ya Morogoro (yale mekundu kabisa yale) asilimia kubwa madereva wake ni wazee au waliokula chumvi nyingi ndo maana hata ukilala huna wasiwasi na unajua utafika....hao ndo madereva sasa...
na ndo maana husikii yakipata ajali za kijinga jinga...
 
Back
Top Bottom