Wiyelelee
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 1,071
- 347
Nimekuwa nikisema kwamba wanawake ni wakatili sana, nao wakaja juu na kusema kwamba eti wanaume ndo wakatili zaidi. Sasa haya anayafanya nani? Wanaume tunapigwa, tena kisawasawa tu, watoto ndo kama hivi mnavyojionea!
Huko Salidalama juzi tu nimesoma kwenye gazeti/ na kusikia kwenye redio kwamba kitoto kiliokotwa maeneyo ya Tabata reli, chini ya daraja....Sasa wanawake watasema sisi ni wakatili?
Huko Salidalama juzi tu nimesoma kwenye gazeti/ na kusikia kwenye redio kwamba kitoto kiliokotwa maeneyo ya Tabata reli, chini ya daraja....Sasa wanawake watasema sisi ni wakatili?