asaprichie
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 292
- 227
timu yko ishajulkana uzi wa kishabiki kabsa....me ofcoz cmkubali kbs diamond ila napenda baadh ya nyimbo zke...dogo anajituma sn lkn wasanii wenzake mara nying ndo uwa wanaanza kumchokonoa chokonoa....alikua anakaa kimya ila hili la dimpoz ikabd alijibu kwa kupanic na matuc.....apo alikosea sn na alinkera sn kujibishana