samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,954
Mungu huwa hawajalii watu wake kuongea chuki,ila anawajaria busara na hekima. Wewe unadhani leo hii ukiwauliza timu yake nzima ya WCB,ndugu jamaa na marafiki zake wa karibu na watu wote ambao DIAMOND kawasaidia watakuona wewe ni mtu wa namna gani,kwa kumzungumzia mtu aliyewasaidia vile ....???Hayo ndo maono Mungu aliyonirudhuku kuyafikilia kulingana na uwezo wangu nawe una ruksa ya kutupanua mawazo tujue tusivyo jaaliwa kuvifikiri.