James St. Patrick
Senior Member
- Jun 23, 2011
- 162
- 62
kwanza naomba mniwie radhi, sikupenda kuandika hili ila imenilazimu! Kuna mwana jf mmoja kaweka link ya selection za tcu za mwaka jana anadai za mwaka huu! Huu ni ujinga kabisa kama huna cha kuandika ni bora kabisa ukiacha! Ukigoogle utampata huyo jamaa! Madogo wanasubiri matokeo yao kwa ham halafu mjinga anaandika pumba! F**k *!