namba force
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 758
- 434
Wadau habarini za mchana huu! Mwenzenu nina ufugaji wa Kuku wa asili na Mungu kanisaidia wamefika 300 na ninatumia mfumo wa zero grazing.
Kuna huu ugonjwa Kuku kama 10 yote majogoo miguu inakosa nguvu na kushindwa kutembea. Nimeuliza wataalamu wa Maduka ya madawa ya mifugo nao wanashangaa tu.
Naomba wajuvi mnisaidie.
Kuna huu ugonjwa Kuku kama 10 yote majogoo miguu inakosa nguvu na kushindwa kutembea. Nimeuliza wataalamu wa Maduka ya madawa ya mifugo nao wanashangaa tu.
Naomba wajuvi mnisaidie.