Huu ni ugonjwa au ni tabia. ?

Huu ni ugonjwa au ni tabia. ?

Kwa mtoto Sawa. Akili haijakua. Kwa mtu Mzima nikala ugonjwa wa mtindio wa ubongo. Akili haikui
 
Nachukia sana hii tabia kwa baadhi ya watu wazima wanaonyonya vidole ama kalamu, Iwe KE ama Me.

Sioni sababu ya msingi ya MTU kuweka Kidole ama kalamu mdomoni.
Ni uchafu.
 
Ni mazoea mabaya...

Wengine wanatafuna ulimi... Wengine wanakonyeza konyeza ovyo unconditional...
 
Back
Top Bottom