Huu ni ugonjwa au ni tabia. ?

Huu ni ugonjwa au ni tabia. ?

ng'ombo

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2014
Posts
418
Reaction score
619
BRB2vUDgMQl.jpg
 
Dah ,samahani kuna kitu alikikosa utotoni na hivyo kujikuta amekua na kuishi na hiyo tabia
 
JF RAHAAA JAMANI MBONA "ZWAZWA"! MI NAONGEZEA GWAJAGWAJA
 
Mazoea yanayopelekea kuzaa tabia. Kwenye ANATOMY YA CNS kuna ka jamaa fulani kana MODULATE mambo kama hayo na mengineyo kama Punyeto nk. Na usipokomaa kupambana hutaacha.

Mimi nilifanikiwa kuacha ujinga huo nikiwa darasa la 6 hivi.

Enzi hizo nikiwa mdogo mama na bibi walikuwa wananipaka pilipili, siku nyingine mavi ya kuku ili nisinyonye kidole.

Mambo mengine bhana! Ha ha ha!
 
Back
Top Bottom