Huu ni muujiza?

Huu ni muujiza?

Salaam! Nina mdogo wangu wa kiume, alikuwa mbaya(sura mbaya) tangu utoto wake, mademu wengi walimkataa sana.

Mwaka 2019 alijiunga na chuo nako bado alikataliwa kwa dharau sana. Ikapita miaka 2 yaani mpaka mwaka huu, amerudi likizo nashagaa, yaani wotr tumemshangaa sana, kawa handsome balaa, ameota tundevu na uso wake umebadilika.

Yaani kichwa kimekuwa kirefu chenye mvuto kifupi mpaka mwenyewe nimeshangaa sana, na ameanza kuwapanga mademu vibaya mno.

Kwa wajuaji, hivi kuna mabadiliko yoyote ya mwili wa binadamu kwa miaka 2, hususani sura na kichwa kwa kijana wa miaka 21? Kwa sasa ana miaka 23. Nimeshangaa mno kilichomtokea huyu dogo.
Nawasilisha!
atakua amepata hela
 
Ipo hv kwa wale wenye vichwa vipana unachopaswa kufanyq kuguga nywele nying kisha nyoa pank ya brash pank lisiloonekana nywele zq juu usinyoe zichpnge tu kichwa chako kitaonekana kirefu kuhusu appearance watu weusi siju hz
Wewe ni Mzungu? Mbona umesema watu weusi?
 
Kazi yake nini? Nipe details kidogo kaka.
Hiyo ni encryption...ukiicrack hiyo enigma utakuwa umegundua mipango ya aliens wanaokuja duniani, kuua na kureplace binadamu kwa kivuli cha society iitwayo illuminati
 
Ni pesa za chuo zimembadilisha tu.
Umewahi kuona picha ya Mpoki na Joti ya chini ya miaka ya 2005? yaani utafikiri wazee na sasa ndio wamekuwa vijana.
 
Kajichubua..watoto wengi wa chuo wakiume wanajichubua
 
Kama wewe ni dume unaelekea pabaya bro!

Mwanaume kumtamani mwanaume mwenzake ni dalili za kuumaliza mwendo.
Halafu mwambie kubadili mademu sio sifa,atakapoanza kuharisha dengu mtaanza kusingizia watu uchawi..
 
Hiyo ni encryption...ukiicrack hiyo enigma utakuwa umegundua mipango ya aliens wanaokuja duniani, kuua na kureplace binadamu kwa kivuli cha society iitwayo illuminati
Kui-:crack' maana yake ni nini?
 
Salaam! Nina mdogo wangu wa kiume, alikuwa mbaya(sura mbaya) tangu utoto wake, mademu wengi walimkataa sana.

Mwaka 2019 alijiunga na chuo nako bado alikataliwa kwa dharau sana. Ikapita miaka 2 yaani mpaka mwaka huu, amerudi likizo nashagaa, yaani wotr tumemshangaa sana, kawa handsome balaa, ameota tundevu na uso wake umebadilika.

Yaani kichwa kimekuwa kirefu chenye mvuto kifupi mpaka mwenyewe nimeshangaa sana, na ameanza kuwapanga mademu vibaya mno.

Kwa wajuaji, hivi kuna mabadiliko yoyote ya mwili wa binadamu kwa miaka 2, hususani sura na kichwa kwa kijana wa miaka 21? Kwa sasa ana miaka 23. Nimeshangaa mno kilichomtokea huyu dogo.
Nawasilisha!
😂😂😂au kaenda plastic surgery?
 
Kichwa chake kimekua hivi au
_95806945_gettyimages-590147780.jpg
 
Salaam! Nina mdogo wangu wa kiume, alikuwa mbaya(sura mbaya) tangu utoto wake, mademu wengi walimkataa sana.

Mwaka 2019 alijiunga na chuo nako bado alikataliwa kwa dharau sana. Ikapita miaka 2 yaani mpaka mwaka huu, amerudi likizo nashagaa, yaani wotr tumemshangaa sana, kawa handsome balaa, ameota tundevu na uso wake umebadilika.

Yaani kichwa kimekuwa kirefu chenye mvuto kifupi mpaka mwenyewe nimeshangaa sana, na ameanza kuwapanga mademu vibaya mno.

Kwa wajuaji, hivi kuna mabadiliko yoyote ya mwili wa binadamu kwa miaka 2, hususani sura na kichwa kwa kijana wa miaka 21? Kwa sasa ana miaka 23. Nimeshangaa mno kilichomtokea huyu dogo.
Nawasilisha!
Una uhakika ni mdogo wako kweli? Mchunguzeni vizuri asije kuwa gaidi wa kiafghanistan kaja kutafuta hifadhi kwenu. We umeona wapi ghafla tu mtu mbaya anabadilika namna hiyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom