Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,351
- Thread starter
- #21
Brother unanitisha, nini maana ya clone?Wamesham'clone huyo...muulize kanye West
Brother unanitisha, nini maana ya clone?Wamesham'clone huyo...muulize kanye West
Awe makini juu ya HIVHapana, yaani kawa hb kinoma na anabadilisha tu mademu!
Illuminati at workBrother unanitisha, nini maana ya clone?
Cloning ni nini?Mfukuzeni huyo amefamyiwa cloning![]()
How?Illuminati at work
Kwanza kichwa kipi 😂 😂Kichwa chake kimekuwa kirefu kwenda juu ama nyuma?
Begin;skdcqlicleckqsnckl1fj2k`\dsac;kwqfc;,qwcijpwqjdp2`[ejj1fmw'mcwo[qkjfpq'/.csa/cmqwodwkfwpwk['wkd'ddw;endHow?
Mbona inakataa hiyo link?Begin;skdcqlicleckqsnckl1fj2k`\dsac;kwqfc;,qwcijpwqjdp2`[ejj1fmw'mcwo[qkjfpq'/.csa/cmqwodwkfwpwk['wkd'ddw;end
Ukiicrack hiyo code hapo juu utagundua kuwa aliens live among us
hiyo sio link hiyo ni codeMbona inakataa hiyo link?
Tatizo wabongo hamjui fashion ntarud hapq stay tunedSalaam! Nina mdogo wangu wa kiume, alikuwa mbaya(sura mbaya) tangu utoto wake, mademu wengi walimkataa sana.
Mwaka 2019 alijiunga na chuo nako bado alikataliwa kwa dharau sana. Ikapita miaka 2 yaani mpaka mwaka huu, amerudi likizo nashagaa, yaani wotr tumemshangaa sana, kawa handsome balaa, ameota tundevu na uso wake umebadilika.
Yaani kichwa kimekuwa kirefu chenye mvuto kifupi mpaka mwenyewe nimeshangaa sana, na ameanza kuwapanga mademu vibaya mno.
Kwa wajuaji, hivi kuna mabadiliko yoyote ya mwili wa binadamu kwa miaka 2, hususani sura na kichwa kwa kijana wa miaka 21? Kwa sasa ana miaka 23. Nimeshangaa mno kilichomtokea huyu dogo.
Nawasilisha!