Mr Beach Boy
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 1,702
- 5,115
Nimemtongoza mdada mmoja
At the first time alinikataa akasema tayari ameolewa
Sikukata Tamaa mara ya pili tena nimemtongoza amesema ana mimba.
Nikamuuliza mimba ya nani akasema mwenye mimba amekataa..
Kwa kumpima tu nikasema ntalea mimba Fanya mtoto awe wangu.
Akasema sawa na amekubali
Ila Nina wasiwasi Hana mimba kwasababu zifuatazo.
01.Huwezi kukubaali kuingia kwenye mahusiano Hali ya kuwa una mimba.
02.anakaa na mama yake ila mimba Ina miezi minne na mama yake hajui kama ana mimba ( hii inawezekana vipi?
03.anasema jamaa aliempa mimba hajawai kwenda kwao kutoa taarifa kuwa jaamaa kampa mimba!
04.kabla ya kuonana na Mimi alikuwa yupo tayari tuone na hakuwai kuniambia ana mimba
Je Ukute ni kigezo chake Cha kupima userious wangu au kweli ana mimba??
Ni school mate Tumeachana miaka Saba ila now ndio nimepata mawasiliano yake.
Nb tupo mikoa tofauti
Naomba mawazo yenu
At the first time alinikataa akasema tayari ameolewa
Sikukata Tamaa mara ya pili tena nimemtongoza amesema ana mimba.
Nikamuuliza mimba ya nani akasema mwenye mimba amekataa..
Kwa kumpima tu nikasema ntalea mimba Fanya mtoto awe wangu.
Akasema sawa na amekubali
Ila Nina wasiwasi Hana mimba kwasababu zifuatazo.
01.Huwezi kukubaali kuingia kwenye mahusiano Hali ya kuwa una mimba.
02.anakaa na mama yake ila mimba Ina miezi minne na mama yake hajui kama ana mimba ( hii inawezekana vipi?
03.anasema jamaa aliempa mimba hajawai kwenda kwao kutoa taarifa kuwa jaamaa kampa mimba!
04.kabla ya kuonana na Mimi alikuwa yupo tayari tuone na hakuwai kuniambia ana mimba
Je Ukute ni kigezo chake Cha kupima userious wangu au kweli ana mimba??
Ni school mate Tumeachana miaka Saba ila now ndio nimepata mawasiliano yake.
Nb tupo mikoa tofauti
Naomba mawazo yenu