Endasak Masqaroda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 1,565
- 3,664
Sidhani kama kuna mkoa Tanzania hii hakuna miti hiyo.Njombe! Kumbe yanastawi hata maeneo ya baridi! Nilifikiri ni mimea ya ukanda wa "semi arid"
Nimeyala Iringa, nimeyaona Dodoma, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Singida, yapo pale kwa Mwamposa Feza Kawe.