Huu ni mlo wa mtu mmoja

Huu ni mlo wa mtu mmoja

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,718
Reaction score
830,771
1419228551191.jpg
 
wasukuma wanapenda sana mambo hayo..!!wanapenda vitu vikubwa vikubwa..!!
 
Kwa mmoja si kweli na kama kweli basi hilo si tumbo ni pakacha
 
Huu mlo kama ni wali basi lazima kitakuwa chakula cha muislam fulani.....hawa jamaa kwa kula sijawahi ona hapa duniani. Yaani muislam bila wali anaona si sahihi, na akila lazima azidishe kipimo chake ili aende msikitini akawatambie wenziwe.

Weee Jamaa mbishi tafadhali wewe acha hizo
 
Last edited by a moderator:
Kikombe cha kunywea maji na ndoo ya lita kumi ya maji ipo kando...! BTW hii ni kawaida sana Mikoa ya Shinyanga, Mwanza na Tabora...!
 
Hawezi kumaliza, hapo ni tele kwa tele wali na maharage
 
Back
Top Bottom